Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,907
- 6,700
Huko nchini thailand.familia ya kifalme ambaye prince Maha Vajiralongkorn huyo alikuwa na mbwa wa kutembea naye. Mbwa huyo kwa jina Fufu ambaye alikuwa na cheo
Cha Air chief Marshal ambavyo vyeo hivi ni vya juu vya kijeshi kwa mambo ya anga. Sasa sijui mbwa alikuwa rubani .
Alizaliwa mwaka 1997 na kufariki 2015.
Kambwa haka kalijiona katawala na kalikuwa kana pokea heshima zote kama bosi wake. Na kanaweza kukuzingua hata kukupeleka jela. Kalikuwa na bajeti na kulindwa na nyumba nzuri ambayo sawa na matajiri wakubwa.
Yaani kuna mda unaweza kusema utawala ni tatizo la akili mda mwengine.
Cha Air chief Marshal ambavyo vyeo hivi ni vya juu vya kijeshi kwa mambo ya anga. Sasa sijui mbwa alikuwa rubani .
Alizaliwa mwaka 1997 na kufariki 2015.
Kambwa haka kalijiona katawala na kalikuwa kana pokea heshima zote kama bosi wake. Na kanaweza kukuzingua hata kukupeleka jela. Kalikuwa na bajeti na kulindwa na nyumba nzuri ambayo sawa na matajiri wakubwa.
Yaani kuna mda unaweza kusema utawala ni tatizo la akili mda mwengine.