peace2007 JF-Expert Member Oct 9, 2007 212 81 May 26, 2015 #1 Naomba dada zangu wa kibongo msiige hii, Baba na mtoto tunategemea hako kanyonyo...akipewa mbwa tena tushee Khaaaa! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Naomba dada zangu wa kibongo msiige hii, Baba na mtoto tunategemea hako kanyonyo...akipewa mbwa tena tushee Khaaaa!
D dawa2015 Member Feb 19, 2015 76 24 May 26, 2015 #2 Aisee, Aisee, Aisee......vichwa vyetu na cultures zetu viko tofauti sana kwa kweli! Yaani hapo tena atampa mtoto anyonye.....la haula lakwata!
Aisee, Aisee, Aisee......vichwa vyetu na cultures zetu viko tofauti sana kwa kweli! Yaani hapo tena atampa mtoto anyonye.....la haula lakwata!
peace2007 JF-Expert Member Oct 9, 2007 212 81 May 26, 2015 Thread starter #3 dawa2015 said: Aisee, Aisee, Aisee......vichwa vyetu na cultures zetu viko tofauti sana kwa kweli! Yaani hapo tena atampa mtoto anyonye.....la haula lakwata! Click to expand... Hivi mtu anaanzaje kufikiria kumweka mbwa kwenye nyonyo????
dawa2015 said: Aisee, Aisee, Aisee......vichwa vyetu na cultures zetu viko tofauti sana kwa kweli! Yaani hapo tena atampa mtoto anyonye.....la haula lakwata! Click to expand... Hivi mtu anaanzaje kufikiria kumweka mbwa kwenye nyonyo????
Zamaulid JF-Expert Member May 25, 2009 18,653 13,472 May 26, 2015 #5 aaaaaaah!! baby naye atakuja kunyonya hapo?!haya bana na mila 'dhao'
Zamaulid JF-Expert Member May 25, 2009 18,653 13,472 May 26, 2015 #7 nyamchele said: Mhhhhh Click to expand... nyamchele...haki za wanyama...usisite kumpa kama unanyonyesha! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
nyamchele said: Mhhhhh Click to expand... nyamchele...haki za wanyama...usisite kumpa kama unanyonyesha!
nyamchele JF-Expert Member May 28, 2014 1,309 1,008 May 26, 2015 #8 Zamaulid said: nyamchele...haki za wanyama...usisite kumpa kama unanyonyesha! Click to expand... Zamaulid hii imetia fora...kama mtoto yatima sawa lakini hii ni mpya kabisa kwangu......hicho kiwango cha huruma bado sijafikia.....nisamehewe bure! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Zamaulid said: nyamchele...haki za wanyama...usisite kumpa kama unanyonyesha! Click to expand... Zamaulid hii imetia fora...kama mtoto yatima sawa lakini hii ni mpya kabisa kwangu......hicho kiwango cha huruma bado sijafikia.....nisamehewe bure!
peace2007 JF-Expert Member Oct 9, 2007 212 81 May 26, 2015 Thread starter #9 Zamaulid said: aaaaaaah!! baby naye atakuja kunyonya hapo?!haya bana na mila 'dhao' Click to expand... Nakwambia hii imepitiliza
Zamaulid said: aaaaaaah!! baby naye atakuja kunyonya hapo?!haya bana na mila 'dhao' Click to expand... Nakwambia hii imepitiliza
HARUFU Platinum Member Jan 21, 2014 31,552 48,148 May 26, 2015 #10 Halafu mbele ya mtoto. Wabrazil wamevurugwa
peace2007 JF-Expert Member Oct 9, 2007 212 81 May 27, 2015 Thread starter #11 HARUFU said: Halafu mbele ya mtoto. Wabrazil wamevurugwa Click to expand... Kabisa mkuu
FaizaFoxy Platinum Member Apr 13, 2011 92,828 109,110 May 27, 2015 #12 Hao si nyonyo tu mpaka vingine wanawapa mbwa.
C cellinityo-murdch Senior Member Mar 26, 2015 190 23 May 28, 2015 #13 mhhhhhhhhhhhhhhhhhh nashukuru kuzaliwa tanzania