Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,560
- 188,751
Mbwa aitwae Ping Pong wa Thailand amegeuka shujaa nchini humo baada ya kumuokoa Mtoto mchanga aliyekuwa amezikwa hai na Mama yake mwenye umri wa miaka 15, inaelezwa Mama huyo alifanya hivyo kwa kuogopa Wazazi wake wangejua kuwa alikuwa mjamzito