Mbuzi VS kuku wataalam wa kuchambua risk za mifugo ipi ina risk na inaongoza Kwa kuingiza watu mkenge

Mie walisepa juzi na kuku 23 majogoo. Najipanga mkamuone mshana akiwa kazini
Pole sana asee ungekuwa karibu ningekuadress kwa jamaa mmoja kiboko ya wezi.... Anatega tego kwenye eneo lako mwizi akifika tu anachezea fimbo kuanzia hapo mpaka atakaponasuliwa na mtegaji... Gharama ni buku 15 tu na kuku mmoja....
Huyo mwizi akinasa ndiye atakaelipa gharama za mtegaji
 
Pole sana asee ungekuwa karibu ningekuadress kwa jamaa mmoja kiboko ya wezi.... Anatega tego kwenye eneo lako mwizi akifika tu anachezea fimbo kuanzia hapo mpaka atakaponasuliwa na mtegaji... Gharama ni buku 15 tu na kuku mmoja....
Huyo mwizi akinasa ndiye atakaelipa gharama za mtegaji
upo maeneo gani??
 
Pole sana asee ungekuwa karibu ningekuadress kwa jamaa mmoja kiboko ya wezi.... Anatega tego kwenye eneo lako mwizi akifika tu anachezea fimbo kuanzia hapo mpaka atakaponasuliwa na mtegaji... Gharama ni buku 15 tu na kuku mmoja....
Huyo mwizi akinasa ndiye atakaelipa gharama za mtegaji
nahitaji sana huo msaada
 
Tatizo la kuku ni wezi tu kudadeki, wasenge wanaweza wakahamisha banda zima na asiwepo hata kuku mmoja wa kupiga kelele.
ulikuwa hujajipanga kwenye kuku,mm ninao 1000 na zaidi kufa wanakufa na bado napata faida,mbuz wako vizur,chamsingi ujipange faida ni ndogo kuliko kuku mkuuu ujipange na watalaam wa mifugo,kumbuka hakuna kaz rahisi hapa duniani
 
Kuna jirani yangu moja ni mfugaji mzuri wa kuku. Siku moja usiku wa manane mvua ikiwa inanyesha wezi walikata michongoma, wakatindua ukuta wa fensi, walipoingia wakawatupia mbwa nyama zenye mifupa. Wakavunja banda la kuku na kusomba kuku wote.
 
Pole sana asee ungekuwa karibu ningekuadress kwa jamaa mmoja kiboko ya wezi.... Anatega tego kwenye eneo lako mwizi akifika tu anachezea fimbo kuanzia hapo mpaka atakaponasuliwa na mtegaji... Gharama ni buku 15 tu na kuku mmoja....
Huyo mwizi akinasa ndiye atakaelipa gharama za mtegaji
Mkuu nami namuhitaji huyo jamaa, nitampataje?
 
Bora mbuzi kuliko kuku, tatizo la mbuzi ni wasumbufu alaf wajuaji mixer na kibur kama una roho ndog unaweza vunja miguu wote...ila kama una eneo kubwa heri ya mbuzi, af soko lake ni maximum....
 
Kuku habar ya mjini
IMG-20190821-WA0004.jpeg
 
mbuzi haikuangushi,wanazaa mara mbili kwa mwaka,so ukianza na mbuzi 100 ndani ya mwaka unao 200,
sema tu wanahitaji eneo,sijui kama kuna zero grazing ya mbuzi hawa wa kienyeji,
mbuzi hawaugui ovyo
 
ulikuwa hujajipanga kwenye kuku,mm ninao 1000 na zaidi kufa wanakufa na bado napata faida,mbuz wako vizur,chamsingi ujipange faida ni ndogo kuliko kuku mkuuu ujipange na watalaam wa mifugo,kumbuka hakuna kaz rahisi hapa duniani

Vipi bado unafuga kuku?
 
Faida ya mbuzi ni kuhimili magonjwa na kipindi Cha ukame huwa wana-survive kutokana na kula aina yoyote ya majani. Pia sokoni Wana bei nzuri.
Changamoto zake ni sehemu ya malisho na jinsi ya kuwadhibiti usiingie kulipa fidia ya kula mazao ya watu kama unafuga huria..Pia wanazaliana karibu mara Moja Kwa mwaka.

Kuku wa kienyeji ni wazuri na Wana soko kubwa. Wanahimili magonjwa na hawaingizi sana gharama ya chakula kama kuku wa kizungu. Changamoto zake kubwa ni wanavutia wezi hasa bunadamu na majirani AMBAO hubeba mmoja mmoja au banda Zima. Vifaranga kuliwa na ndege kama mwewe,tai,kupanga n.k. Pia hushambuliwa na wanyama kama paka pori,vicheche, nguchiro,fungo n.k Kuku wa kizungu wanahitaji matunzo ingawa unawaingiza sokoni mapema.
 
Back
Top Bottom