Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
Wakuu baada ya kutafakari mda mrefu Mara baada ya kufiwa na makuku yangu matetea 10 licha ya kuwapa madawa nimepata wazo la mbuzi.... Vipi wazoefu wa mfugo huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mkuu umesema afadhali ya mbuziAiseee mbuzi ni afadhali kuliko kuku
How?Low risk low profit.
Ni kweli kabisa mkuuMbuzi kwy magonjwa wavumilivu kidogo kuliko kuku, ingawa shughuli ya ufugaji inahitaji umakini sana
Ni kweli kabisa lakini kuku inatakiwa kua makiniukitunza kwa kiwango cha juu kabisa kundi la mbuzi haliwezi kuongezeka zaidi ya mara 6 kwa mwaka kundi la kuku linaouwezo wa kuongezeka mara +100.
Mie walisepa juzi na kuku 23 majogoo. Najipanga mkamuone mshana akiwa kaziniTatizo la kuku ni wezi tu kudadeki, wasenge wanaweza wakahamisha banda zima na asiwepo hata kuku mmoja wa kupiga kelele.
kwa maana hii mkuu wewe unatafuta kitu ambacho hautakuwa makini siyo?Ni kweli kabisa lakini kuku inatakiwa kua makini
Chenye faida kubwa ndipo panahasara kubwa kama hutokuwa makini.kinyumeHow?
poleMie walisepa juzi na kuku 23 majogoo. Najipanga mkamuone mshana akiwa kazini