Mbuzi ni mbuzi hawezi kuwa Simba ndio maana wengi wameshindwa

Vaislay

JF-Expert Member
Jun 26, 2011
4,532
1,819
Jaman,kukupenda kote na umaskini na shida ulizonazo,nikagombana na ndugu zangu,nikavumilia yote,2kashiriki kwenye furaha.wote waliamini tunapendana tho sikuwah kukuamin lakin nilikpenda kweli.leo hii unanipa mateso,unanisaliti?nikufanyeje kulpiza muda wangu ulionipotezea?
 
Jaman,kukupenda kote na umaskini na shida ulizonazo,nikagombana na ndugu zangu,nikavumilia yote,2kashiriki kwenye furaha.wote waliamini tunapendana tho sikuwah kukuamin lakin nilikpenda kweli.leo hii unanipa mateso,unanisaliti?nikufanyeje kulpiza muda wangu ulionipotezea?
<br />
<br />
Nadhani unataka ufuate ule msemo wa "dawa ya MOTO ni MOTO", akati dawa ya moto ni maji,
 
Kumbe ulitaka something in return!Pole sana jifunze kupenda maana yake kisha ujue,halafu uonje raha ya maisha!
 
pole dada kwa kweli mie pia yamenikuta hayo na mie pia hivyohivyo lakini mie bado nampenda na namvumilia mtu unayempenda huwezi kumlipizia au kumkomoa
 
Hellow ... Hellow My love....
Hellow... Hellow my love...
Usiku silalii... Sina raha my beibe..
Umekwenda mbali... mbali na mii....

Wewe nilikupenda... Wewe ukanipenda...
itabaki umekwenda nilikokwenda...
Ona wimbo mzuri ninakwimbia...
Sikia beat ajali nibavopiga...

Ukweli nilikupeeenda... Wewee ukanipeeenda..
ikabaki umekwenda niliko kwenda...
Hellow ... Hellow My love....
Hellow... Hellow my love...

Ulofanya mi niyajue Mapenzi ni wewee...
Ulofanya nimchukia Mamangu ni wewee
Mbona sasa umenitupa, mbona sasa umenitenga My Love...'
Mbona sasa umenitupa, mbona sasa umenitenga My Love...

Najiuliza Mengi... Labda siyajui Mapenzi...

Dedication kwako toka kwa Ney...
 
Jaman,kukupenda kote na umaskini na shida ulizonazo,nikagombana na ndugu zangu,nikavumilia yote,2kashiriki kwenye furaha.wote waliamini tunapendana tho sikuwah kukuamin lakin nilikpenda kweli.leo hii unanipa mateso,unanisaliti?nikufanyeje kulpiza muda wangu ulionipotezea?

Si Ulishatupa Pete Kwenye Shimo la Mavi au umeanza kujuta
 
Hellow ... Hellow My love....
Hellow... Hellow my love...
Usiku silalii... Sina raha my beibe..
Umekwenda mbali... mbali na mii....

Wewe nilikupenda... Wewe ukanipenda...
itabaki umekwenda nilikokwenda...
Ona wimbo mzuri ninakwimbia...
Sikia beat ajali nibavopiga...

Ukweli nilikupeeenda... Wewee ukanipeeenda..
ikabaki umekwenda niliko kwenda...
Hellow ... Hellow My love....
Hellow... Hellow my love...

Ulofanya mi niyajue Mapenzi ni wewee...
Ulofanya nimchukia Mamangu ni wewee
Mbona sasa umenitupa, mbona sasa umenitenga My Love...'
Mbona sasa umenitupa, mbona sasa umenitenga My Love...

Najiuliza Mengi... Labda siyajui Mapenzi...

Dedication kwako toka kwa Ney...

copy moja iliyotulia, hapa naamini hakuna aliesoma. Bali wamesoma huku wanaimba kama nilivofanya mimi!
 
jaman,kukupenda kote na umaskini na shida ulizonazo,nikagombana na ndugu zangu,nikavumilia yote,2kashiriki kwenye furaha.wote waliamini tunapendana tho sikuwah kukuamin lakin nilikpenda kweli.leo hii unanipa mateso,unanisaliti?nikufanyeje kulpiza muda wangu ulionipotezea?

nakupa mji nenda iringa!!!!!!!!!!
 
Jaman,kukupenda kote na umaskini na shida ulizonazo,nikagombana na ndugu zangu,nikavumilia yote,2kashiriki kwenye furaha.wote waliamini tunapendana tho sikuwah kukuamin lakin nilikpenda kweli.leo hii unanipa mateso,unanisaliti?nikufanyeje kulpiza muda wangu ulionipotezea?
<br /> <br /he! umemfumania?
 
Unaweza toa pendo lako kwa furaha, kumbe moyoni umejijazia karaha. Hutakiwi juta kwani katu hutojua, unaempenda yeye anakuzingua. Mwisho wa yote ikawa ni matatizo, yanayopelekea kuwa na mengi mawazo!!
 
Jaman,kukupenda kote na umaskini na shida ulizonazo,nikagombana na ndugu zangu,nikavumilia yote,2kashiriki kwenye furaha.wote waliamini tunapendana tho sikuwah kukuamin lakin nilikpenda kweli.leo hii unanipa mateso,unanisaliti?nikufanyeje kulpiza muda wangu ulionipotezea?

Bob Marley " Who the cap fits, let him wear it" -

Kama ameshindwa kuishi nawe..usife moyo..mwache aende akaishi na akatayemuweza..make your life simple..yaani anza kivyako na sahau yaliyopita..

Easy: Yaliyopita si ndwele na tugange yajapo..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom