Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,822
Jaman,kukupenda kote na umaskini na shida ulizonazo,nikagombana na ndugu zangu,nikavumilia yote,2kashiriki kwenye furaha.wote waliamini tunapendana tho sikuwah kukuamin lakin nilikpenda kweli.leo hii unanipa mateso,unanisaliti?nikufanyeje kulpiza muda wangu ulionipotezea?