Itamsaidia vipi wakati hakujitokeza?Serikali inapaswa kumsaidia mzee huyu.
Mkuu Nyagei,maisha yako poa tu,tatizo ni Serikali ya Tanzania & Watanzania ndio hatuna usawa. Moja ya sababu ya kutokuendelea kwa nchi hii ni pamoja na vilio,majonzi & masononeko ya watu kama hawa yanayotengeneza laana na kuweka wingu la kuzuia baraka za Mwenyezi Mungu kutufikia.Maisha hayana usawa
Sivyo Mkuu,tatizo ni wasanii wa Sanaa za uchoraji na ubunifu kushindwa either kutambuana au kupuuza michango ya wakongwe wao.Mkuu Nyagei,maisha yako poa tu,tatizo ni Serikali ya Tanzania & Watanzania ndio hatuna usawa. Moja ya sababu ya kutokuendelea kwa nchi hii ni pamoja na vilio,majonzi & masononeko ya watu kama hawa yanayotengeneza laana na kuweka wingu la kuzuia baraka za Mwenyezi Mungu kutufikia.
kwani aliichora 1964?1964 wakati akipewa tender alilipwa pesa yake yote hadai hata senti kwahivyo Jamhuri haina deni nae. Hakufanya iyo kazi Bure yaani kwa Uzalendo
Una uhakika alipewa tender na kulipwa? Au aliteuliwa na kipewa zawadi?1964 wakati akipewa tender alilipwa pesa yake yote hadai hata senti kwahivyo Jamhuri haina deni nae. Hakufanya iyo kazi Bure yaani kwa Uzalendo
Ujumbe huu uende kwa vijana wa rumumba wanaosifia sifia ujinga wakijua watakumbukwa
Mimi nilitaka kuuliza, kwani hakulipwa?1964 wakati akipewa tender alilipwa pesa yake yote hadai hata senti kwahivyo Jamhuri haina deni nae. Hakufanya iyo kazi Bure yaani kwa Uzalendo
Mwalimu wa nyerere mwenyewe kafa bila kulipwa haki zake.Tz ni shida sometime.
Yap Tanzania ilianza au ilizaliwa 26 April 1964kwani aliichora 1964?