NAFIKIRE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 634
- 414
Ungefutilia ujue kama alilipwa au hakullipwa...na kwa kazi kubwa kama hiyo angetakiwa kulipwa maisha yake yote na kizazi chake...kama hiyo kazi yake itaendelea kutumika...ITV wafutilie vizuri watuletee muuendelezo wa hii habari..pia ningefurahi ITV wangefuatilia na mtu aliyebuni jina la Tanzania hali yake ikoje..yupo wapi kwa sasa...na alifanyiwa nini na serikali yake kwa kazi ya kubwa aliyofanya..Hakulipwa Kwa kazi yake ya ubunifu? Kama ndiyo
Anataka nini Leo? Hakujipanga enzi za ujana wake asilie lie kutaka msaada Kwa kigezo cha kubuni nembo ya taifa..........
Kuna watu wengi wameifanyia makubwa hii nchi na wana hali mbaya je wote walalamike/kuhitaji msaada wa serikali?