Mimi nilikutana na hii huko fesibukuni nilipokuwa namtafuta mwandani.Ninashindwa kuelewa nani ni nani.Naamini kabisa historia ya kweli ya nchi hii ni ile iliyoandikwa kabla na wakati wa ukoloni,
Kuibuka kwa huyu mzee inaonekana kabisa historia ya nchi hii baada ya Uhuru eidha haijulikani vizuri au kuna mengi yalipindishwa kwa maslahi ya kisiasa. Tusubiri majibu ya serikali juu ya nembo ya Taifa na mchoraji wake.
HAHAHA JAMII FFORUMS NI KIBOKOTuko bize na upigaji wa rambirambi kwa sasa, bahati mbaya tu na yeye "akidanja" itarambwa hadi ya kwake.
Kitanzania ni kweli haki miliki moja haikutoi!! Mkuu NEMBO ya Taifa haifananishwi na vitu vya kijingaMkuu haki miliki kwa product moja tu haikutoi. Inabidi ubuni products nyingi sana na uwe unazibadili badili kulingana na mahitaji ya wateja. Wateja tunabadilika sana kila siku. Leo unapenda design hii kesho huipendi. Mfano mzuri angalia design za simu zinavyobadilika kila siku. Hata viwanda vikubwa kama Cocacola wamebadili mtindo wa biashara na products. leo wana products zaidi ya zile traditional walizoanza nazo. Mtindo wa kuziuza pia wamebadili. Hebu iprice hiyo nembo. Ungekuwa wewe ungempa shilingi ngapi kwa kuown hiyo nembo kama angekuwa na haki miliki?
Du u u u!1964 wakati akipewa tender alilipwa pesa yake yote hadai hata senti kwahivyo Jamhuri haina deni nae. Hakufanya iyo kazi Bure yaani kwa Uzalendo
Acha uhayawani wewe,yani Nape umfananishe na mchoraji na mbunifu wa nembo ya taifa? WTF!Tumemtelekeza napere ambae alijinasibu alilala porini ije kuwa yeye
Serikali msaidieni huyu mzee ni muhimu sana kwa historia ya taifa letu haipendezi kuwatelekeza na ukizingatia hivi sasa afya yake si nzuri na uzee kwa kweli anahitaji msaada.
Hii nchi mpaka chama cha kijani kiondoke madarakani maisha ya WaTanzanini yatakuwa saaaafi
zikichangwa wanakuja kuzichukua na kuzipangia matumiziTuanze mimi na wewe, huko ulikotaja sidhani kama kuna msaada wowote
Wako waliokuwa wanaona mada hii ni upuuzi mtupu hatimae baada ya kelele wamejitokeza rasmi sasa na ameshakuwa "mzee wetu" matibabu yanaendelea ni jambo la kushukuru. Ila inasaidia kuwa sasa Wazalendo na wala nchi tunajitambulisha kwa namna zetuMZEE HUYU TUACHE STORI ANAPASWA KUTAZAMWA UPYA NA SERIKALI
Hatimaye serikali yachukua hatuaHusika na kichwa cha habari hapo juu,Mzee Francis Ngosha ndie mchoraji na mbunifu wa nembo ya taifa hivi sasa anaishi maisha ya kichokoraa huko Buguruni jijini Dar es salaam. Kibanda anachoishi ni cha hovyo sana ni kama banda la kuku limezungushwa na Bati juu mpaka chini.
Serikali msaidieni huyu mzee ni muhimu sana kwa historia ya taifa letu haipendezi kuwatelekeza na ukizingatia hivi sasa afya yake si nzuri na uzee kwa kweli anahitaji msaada.
Chanzo: Itv habari.
Wakiisha pata kura, wafanyayo ni zaidi ya hayaView attachment 514194 wakija kuomba kura wanakuwa wanyenyekevu balaa wakishapata wanatukana watumajukwaani
Hilo si lakuuliza mkuuWeka picha tuone alieterekezwa basi.Kwa hiyo alitakiwa awe analipwa mshahara kila mwezi au?
Hatimaye serikali yachukua hatua
Hapo iko namna ya kutengeneza kamchango ka kutusaidia kwenye mambo mengine piawasiishie hpo tu wamtafutie na makazi bora na ya kudumu.