johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,826
- 141,738
- Thread starter
- #21
Mweupe kichwani wakati ameasisi kodi?Sasa watoto wana kipato kwa uchumi upi? Zungu ni mweupe tangu rangi ya ngozi hadi ndani ya kichwa.
Mweupe kichwani wakati ameasisi kodi?Sasa watoto wana kipato kwa uchumi upi? Zungu ni mweupe tangu rangi ya ngozi hadi ndani ya kichwa.
Ukimiliki simu na kuweza kununua salio, wewe ni tajiri.Huyo mwandishi angemuuliza mtu mwenye uwezo ni yupi? Mwenye simu? Anayatumia fedha [kiasi chochote?], Maana hii tozo hata kama unamtumia mtu hela ya matibabu ambaye hana uwezo kiuchumi, yeye anakatwa na wewe unakatwa! CCM sijui wanatumia akili gani!
Aliyeanzisha chokochoko kuhusu tozo za miamala na vocha ni nani? Hawa wanaojiita Zungu huwa wana matatizo sana..... Hata aliyechomwa moto alikuwa anajiita ZunguNabii hakubaliki nyumbani. View attachment 1863016
Huyu alishaambiwa na R.I.P Masaburi kuwa anafikiri kwa kutumia matterco.Tukiitwa kichwa cha mwendawazimu tunapaswa kukubali tu! Hivi hao watu milioni 20 ambao hawatalipa hizo tozo unawezaje kuwabaini na kutokuwakata hizo tozo pindi watakapokuwa wanatumia hizo huduma? Au watakuwa na orodha ya majina ya wasiostahiki kukatwa tozo??
Tanzania haiishiwi maajabu.
Safari ya burundi umefika pande zipi sasa hivi?Koho koho
Huyu alishaambiwa na R.I.P Masaburi kuwa anafikiri kwa kutumia matterco.
Milioni ishirini ambao hawamiliki simu, wewe ukiwa na simu na ukafanya miamala ya simu kodi hii inakuhusu.Tukiitwa kichwa cha mwendawazimu tunapaswa kukubali tu! Hivi hao watu milioni 20 ambao hawatalipa hizo tozo unawezaje kuwabaini na kutokuwakata hizo tozo pindi watakapokuwa wanatumia hizo huduma? Au watakuwa na orodha ya majina ya wasiostahiki kukatwa tozo??
Tanzania haiishiwi maajabu.
🤭🤭🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bwashee wahi malimao isije kuwa ni delta hiyo!
Kwahiyo hii ni kodi ya miamala au imelengwa kwa wanaotumia simu? Pia usikute hata hao milioni 20 walengwa ndio sisi ambao tuna line 2 hadi 4.Milioni ishirini ambao hawamiliki simu, wewe ukiwa na simu na ukafanya miamala ya simu kodi hii inakuhusu.
Bado najifungasha hapa... Nawaza namna ya kutoa ki-nauli nilikisahau kweye simu.Safari ya burundi umefika pande zipi sasa hivi?
Safari ya burundi umefika pande zipi sasa hivi?
Exactly...waliobakia ni watoto na vikongwe, huyu nafikiri ubongo wake bado haujatengemaa.Kuwa na mbunge kama huyu ni hasara kwa taifa. Watu milioni 30 ndo watu wazima wote ukiondoa vikongwe, watoto na wanafunzi wanaotegemea wazazi wao. Au hata hesabu ya Sensa haitumii kama mbunge?
Mwandishi wa habari ndo wakina Steve nyere.re minds anaweza kuwaza kikubwaHuyo mwandishi angemuuliza mtu mwenye uwezo ni yupi? Mwenye simu? Anayatumia fedha [kiasi chochote?], Maana hii tozo hata kama unamtumia mtu hela ya matibabu ambaye hana uwezo kiuchumi, yeye anakatwa na wewe unakatwa! CCM sijui wanatumia akili gani!
Wenye uwezo wamemaliza kujadili bajeti juzi tu hapo Dodoma, kama vip zile posho na marupurupu yao yawe yanakatwa only 5% then kwenye kiinua mgongo pale mwisho nako tule hata 2%. Maendeleo hayana Chama.Muasisi wa Tozo za kizalendo mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu amesema kodi hii itawagusa watanzania milioni 30 tu ambao wana uwezo na wale wanaobakia zaidi ya milioni 20 hawataguswa. Tanzania ina watu zaidi ya milioni 50
Zungu amesema wazo la consolidation tax amelitoa Ujerumani ambako wenye uwezo hulipa kodi kusaidia maendeleo ya watu wa maeneo masikini.
Chanzo: Clouds tv
Wenyewe wanasema wame chaguliwa* na wananchi kwa kura????^&₩Hawa ndo wabunge wa kulifikisha taifa kwenye asali na mkate foolish na hopeless kabisa.