Mbunge Zungu: Tumeanzisha kodi ya miamala ya simu kwa watu milioni 30 wenye uwezo, waliobaki zaidi ya milioni 20 hawatalipa

Nabii hakubaliki nyumbani.
IMG-20210722-WA0016.jpg
 
Huyo mwandishi angemuuliza mtu mwenye uwezo ni yupi? Mwenye simu? Anayatumia fedha [kiasi chochote?], Maana hii tozo hata kama unamtumia mtu hela ya matibabu ambaye hana uwezo kiuchumi, yeye anakatwa na wewe unakatwa! CCM sijui wanatumia akili gani!
Ukimiliki simu na kuweza kununua salio, wewe ni tajiri.
Masikini hana uwezo wa kununua simu wala salio.
 
Tukiitwa kichwa cha mwendawazimu tunapaswa kukubali tu! Hivi hao watu milioni 20 ambao hawatalipa hizo tozo unawezaje kuwabaini na kutokuwakata hizo tozo pindi watakapokuwa wanatumia hizo huduma? Au watakuwa na orodha ya majina ya wasiostahiki kukatwa tozo??
Tanzania haiishiwi maajabu.
Huyu alishaambiwa na R.I.P Masaburi kuwa anafikiri kwa kutumia matterco.
 
Tukiitwa kichwa cha mwendawazimu tunapaswa kukubali tu! Hivi hao watu milioni 20 ambao hawatalipa hizo tozo unawezaje kuwabaini na kutokuwakata hizo tozo pindi watakapokuwa wanatumia hizo huduma? Au watakuwa na orodha ya majina ya wasiostahiki kukatwa tozo??
Tanzania haiishiwi maajabu.
Milioni ishirini ambao hawamiliki simu, wewe ukiwa na simu na ukafanya miamala ya simu kodi hii inakuhusu.
 
Hivi hawa watu wanatuonaje
Kwa hiyo hiyo milioni 20 tuseme umri kuanzia 18 kwenda chini
 
Kwaniaba ya Watanzania wote napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza wapiga kura wa Ilala pamoja na Mbunge wao kwa kushawishi bunge na hatimaye suala hili kupita. Zungu we endelea kula cake ya taifa kwa kulipwa mshahara usiokatwa Kodi, Bima ya afya ya daraja la kwanza kwako na mengine huku sisi tunachirikima daily yaan. Hongera kwako
 
Milioni ishirini ambao hawamiliki simu, wewe ukiwa na simu na ukafanya miamala ya simu kodi hii inakuhusu.
Kwahiyo hii ni kodi ya miamala au imelengwa kwa wanaotumia simu? Pia usikute hata hao milioni 20 walengwa ndio sisi ambao tuna line 2 hadi 4.
 
Kuwa na mbunge kama huyu ni hasara kwa taifa. Watu milioni 30 ndo watu wazima wote ukiondoa vikongwe, watoto na wanafunzi wanaotegemea wazazi wao. Au hata hesabu ya Sensa haitumii kama mbunge?
Exactly...waliobakia ni watoto na vikongwe, huyu nafikiri ubongo wake bado haujatengemaa.
Wenye uwezo wamewakategoraizi vipi??

Hii ni vita ya URAIS 2025,

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
naombeni huyu jamaa ilala asijepata tena ubunge, nafikiri na yeye ameshajiandaa tayari kuondoka.
 
Huyo mwandishi angemuuliza mtu mwenye uwezo ni yupi? Mwenye simu? Anayatumia fedha [kiasi chochote?], Maana hii tozo hata kama unamtumia mtu hela ya matibabu ambaye hana uwezo kiuchumi, yeye anakatwa na wewe unakatwa! CCM sijui wanatumia akili gani!
Mwandishi wa habari ndo wakina Steve nyere.re minds anaweza kuwaza kikubwa
 
Muasisi wa Tozo za kizalendo mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu amesema kodi hii itawagusa watanzania milioni 30 tu ambao wana uwezo na wale wanaobakia zaidi ya milioni 20 hawataguswa. Tanzania ina watu zaidi ya milioni 50

Zungu amesema wazo la consolidation tax amelitoa Ujerumani ambako wenye uwezo hulipa kodi kusaidia maendeleo ya watu wa maeneo masikini.

Chanzo: Clouds tv
Wenye uwezo wamemaliza kujadili bajeti juzi tu hapo Dodoma, kama vip zile posho na marupurupu yao yawe yanakatwa only 5% then kwenye kiinua mgongo pale mwisho nako tule hata 2%. Maendeleo hayana Chama.
 
Back
Top Bottom