FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 35,847
- 40,439
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusiwe kama dodoki, unapokopi kitu kutoka nchi fulani lazima ukopi na mazingira (supporting background/context) yake pia. Hapa kwetu unaongelea watu kma machinga wanaendesha bodaboda, wakulima wa kijembe cha mkono na kusubiria mvua bila kutumia pembejeo, wafugaji wa kuhamahama, wavuvi wanaovua kwa vyandarua vya mbu, wakulima wasiokuwa na soko la mazao yao, watu ambao wanajinunulia dawa kihola kwenye vijiduka vya dawa,Muasisi wa Tozo za kizalendo mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu amesema kodi hii itawagusa watanzania milioni 30 tu ambao wana uwezo na wale wanaobakia zaidi ya milioni 20 hawataguswa. Tanzania ina watu zaidi ya milioni 50
Zungu amesema wazo la consolidation tax amelitoa Ujerumani ambako wenye uwezo hulipa kodi kusaidia maendeleo ya watu wa maeneo masikini.
Chanzo: Clouds tv
Zungu ungeleta na wazo jema la UB 40 (unemployed benefit) yaani malipo ya paundi arobaini kwa wasio na ajira, ningekupigia saluti.Muasisi wa Tozo za kizalendo mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu amesema kodi hii itawagusa watanzania milioni 30 tu ambao wana uwezo na wale wanaobakia zaidi ya milioni 20 hawataguswa. Tanzania ina watu zaidi ya milioni 50
Zungu amesema wazo la consolidation tax amelitoa Ujerumani ambako wenye uwezo hulipa kodi kusaidia maendeleo ya watu wa maeneo masikini.
Chanzo: Clouds tv
Hivi huyo Zungu hajafa tu?Muasisi wa Tozo za kizalendo mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu amesema kodi hii itawagusa watanzania milioni 30 tu ambao wana uwezo na wale wanaobakia zaidi ya milioni 20 hawataguswa. Tanzania ina watu zaidi ya milioni 50
Zungu amesema wazo la consolidation tax amelitoa Ujerumani ambako wenye uwezo hulipa kodi kusaidia maendeleo ya watu wa maeneo masikini.
Chanzo: Clouds tv
Kuna mwandishi wa habari Tanzania mwenye uwezo wa kuhoji? Yaani mwandishi anabakia kujichekesha tu hajui lolote nashindwa kuelewa ni kujipendekeza ili apate uteuzi au ni kitu gani?Huyo mwandishi angemuuliza mtu mwenye uwezo ni yupi? Mwenye simu? Anayatumia fedha [kiasi chochote?], Maana hii tozo hata kama unamtumia mtu hela ya matibabu ambaye hana uwezo kiuchumi, yeye anakatwa na wewe unakatwa! CCM sijui wanatumia akili gani!
Hajafa tu huyu fisadi wa kiafghanistani?Muasisi wa Tozo za kizalendo mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu amesema kodi hii itawagusa watanzania milioni 30 tu ambao wana uwezo na wale wanaobakia zaidi ya milioni 20 hawataguswa. Tanzania ina watu zaidi ya milioni 50
Zungu amesema wazo la consolidation tax amelitoa Ujerumani ambako wenye uwezo hulipa kodi kusaidia maendeleo ya watu wa maeneo masikini.
Chanzo: Clouds tv