johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,903
- 141,850
Muasisi wa Tozo za kizalendo mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu amesema kodi hii itawagusa watanzania milioni 30 tu ambao wana uwezo na wale wanaobakia zaidi ya milioni 20 hawataguswa. Tanzania ina watu zaidi ya milioni 50
Zungu amesema wazo la consolidation tax amelitoa Ujerumani ambako wenye uwezo hulipa kodi kusaidia maendeleo ya watu wa maeneo masikini.
Chanzo: Clouds tv
Zungu amesema wazo la consolidation tax amelitoa Ujerumani ambako wenye uwezo hulipa kodi kusaidia maendeleo ya watu wa maeneo masikini.
Chanzo: Clouds tv