Inasikitisha sana kuna wabunge ambao wameamua kuwa wanafiki hata hoja za kijinga wanaunga mkono. Hata kama hazina mashiko kwa wananchi. Wao ni ndioooo tu. Kwa maslahi ya chama. Naomba walaaniwe wasirudi 2015
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.