Peter jaluo
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 1,750
- 248
Jamani wana-Rorya mbunge wetu kakaa kimya sana bungeni wenzake wanalilia maji ya bomba yeye hasikiki, Airo tatizo nini?
Nyie mlichagua utajiri wake, siku nyingine chagueni asiyetaka sifa,ila mchapa kazi ambaye atakuwa naye benet si wa nyie kumpapatia kisa mali na pesa zake.gama uweziamini.bdo kule watu wanakunywa maji ya mto mirare uku yye kauchuna 2 hta maji?