Mbunge wetu Gwajima tunaomba kujua imekuaje uhamiaji kukamata mama ntilie na machinga pale mbuyuni

Wakuu jana nilishudia askari wa uhamiaji wakifanya ambush kukamata wafanya biashara wadogo wadogo pale mbuyuni. Picha lilianza baada ya bus moja likiwa na watu walio valia sare za uhamiaji kufika km vile picha ya MAFIA VS NINJA likisdinidkizwa na gari ndogo. Walipofika waliwaweka chini ya ulinzi wafanyabiashara wote huku wakipewa amri ya kupanda bus huku wakiacha biashara zao sadaka kwa watu.

Ushauri kwa mama SAMIA Rais wetu mpendwa hawa ndiyo wapiga kura wako na CCM.

Tunaomba mbunge wetu Gwajima atupe maelezo ya hii kitu km ni sawa.

Ndiyo maana nimesema zinazofanana na sare za uhamiaji.
Soma hapo juu post #1 umeandika nini?
 
Ndiyo maana nimesema zinazofanana na sare za uhamiaji.
Hapo juu umesema askari wa uhamiaji, wapi umesema zinazofanana na za uhamiaji??ndio tatizo unawaza jingine unaanndika kingine?na je unajua kuwa hata uhamiaji wana sare zaidi za moja?
 
Sasa utaelewa vipi kama akili yako haujaitune kuelewa?

Unadhani kuelewa lingekuwa jambo rahisi division zero zisingekuwepo.
Wewe ndio umedandia gari kwa mbele!!mleta uzi amesema kuwa amewaona askari wa uhamiaji wakikamata watu, na michango imetokana na maelezo yake, sasa inaonekana yeye mwenyewe ndio haelewi, mala anasema kuwa wana uniform zinazofanana na za uhamiaji?ndio maana nikakuuliza wapi nimesema kuwa uhamiaji ni auxiliary police??kwani kama angesema hivyo toka mwanzoni tungejua tu kuwa hao ni askari wa jiji.
 
Wakuu jana nilishudia askari wa uhamiaji wakifanya ambush kukamata wafanya biashara wadogo wadogo pale mbuyuni. Picha lilianza baada ya bus moja likiwa na watu walio valia sare za uhamiaji kufika km vile picha ya MAFIA VS NINJA likisdinidkizwa na gari ndogo. Walipofika waliwaweka chini ya ulinzi wafanyabiashara wote huku wakipewa amri ya kupanda bus huku wakiacha biashara zao sadaka kwa watu.

Ushauri kwa mama SAMIA Rais wetu mpendwa hawa ndiyo wapiga kura wako na CCM.

Tunaomba mbunge wetu Gwajima atupe maelezo ya hii kitu km ni sawa.
Mbona unakuwa unakosa akili ya kawaida.
Hakuna operation inafanyika bila inteligensia, lazima kuna warundi hapo.
Watachambuliwa baada ya mahojiano.
 
Wakuu jana nilishudia askari wa uhamiaji wakifanya ambush kukamata wafanya biashara wadogo wadogo pale mbuyuni. Picha lilianza baada ya bus moja likiwa na watu walio valia sare za uhamiaji kufika km vile picha ya MAFIA VS NINJA likisdinidkizwa na gari ndogo. Walipofika waliwaweka chini ya ulinzi wafanyabiashara wote huku wakipewa amri ya kupanda bus huku wakiacha biashara zao sadaka kwa watu.

Ushauri kwa mama SAMIA Rais wetu mpendwa hawa ndiyo wapiga kura wako na CCM.

Tunaomba mbunge wetu Gwajima atupe maelezo ya hii kitu km ni sawa.
Eti hao ndo wapiga kura,nani kakwambia Samia anategemea kura?
 
Sasa unapoandika Mbuyuni as if kila Mtu anapafahamu.

Na mimi nikiandika kuna ajali imetokea Sekei Mtu wa Namtumbo akisoma ataelewa kweli?.
 
Hiyo itakuwa ni MISAKO, kwani nasikia maeneo hayo kuna warundi wengi sana, wanafanya biashara zao hapo, kwa kujiita waha!!!ni Tz pekee tu ndipo unapokuta uhamiaji wanafanya kazi zao , huku raia wanawalaumu!!usiombe yakukute huko kwao utatamani hata ardhi ipasuke, kwa kutembea tu bila hati ya kusafiria , wakukamate, hata kama umeisahau tu sehemu ulipofikia!!kwa mtu anayeishi nchini bila kibali sio wa kumuonea huruma hatà kidogo.
Mlalamikaji labda ni mmoja wa hao warundi wanaoishi salasala. Anakimbilia kujificha kwenye kichaka cha wafanyabiashara wadogo wadogo anaodai wameonewa.
 
Hiyo itakuwa ni MISAKO, kwani nasikia maeneo hayo kuna warundi wengi sana, wanafanya biashara zao hapo, kwa kujiita waha!!!ni Tz pekee tu ndipo unapokuta uhamiaji wanafanya kazi zao , huku raia wanawalaumu!!usiombe yakukute huko kwao utatamani hata ardhi ipasuke, kwa kutembea tu bila hati ya kusafiria , wakukamate, hata kama umeisahau tu sehemu ulipofikia!!kwa mtu anayeishi nchini bila kibali sio wa kumuonea huruma hatà kidogo.
Unazungumzia nchi gani?
 
Hiyo itakuwa ni MISAKO, kwani nasikia maeneo hayo kuna warundi wengi sana, wanafanya biashara zao hapo, kwa kujiita waha!!!ni Tz pekee tu ndipo unapokuta uhamiaji wanafanya kazi zao , huku raia wanawalaumu!!usiombe yakukute huko kwao utatamani hata ardhi ipasuke, kwa kutembea tu bila hati ya kusafiria , wakukamate, hata kama umeisahau tu sehemu ulipofikia!!kwa mtu anayeishi nchini bila kibali sio wa kumuonea huruma hatà kidogo.
Oman peke yake kuna watanzania 7000 waliosajiliwa pale ubalozini. Bado ambao hawajajisajili.

Dunia sio kijiji ndugu yangu.

Nilishangaa kuna watanzania wanaishi Guinea, na wakati wa mapinduzi ya juzi walikuwa wanahojiwa wakasema wapo salama.
 
Gwaji Boy ameufyata sasa hana lolote huyo,kumtegemea or kumsikiliza huyo tapeli ni matumizi mabovu ya rasilimali kichwa.

Kinachofata ni zamu ya Mzee Kijana nae hana muda mrefu ataufyata kama alivyoufyata Gwaji boy.

Tunataka Mfyato kama wa yule lekcha mrundi BA,japo ni wa kinafki ila ndio tunaotaka.
 
Oman peke yake kuna watanzania 7000 waliosajiliwa pale ubalozini. Bado ambao hawajajisajili.

Dunia sio kijiji ndugu yangu.

Nilishangaa kuna watanzania wanaishi Guinea, na wakati wa mapinduzi ya juzi walikuwa wanahojiwa wakasema wapo salama.
Hujanielewa, hakuna sehemu nimesema kuwa hatutakiwi kwenda nje, bali ni pale unapokuwa nchi za watu hususani za kiafrika bila kuwa na vibari vya kuishi, hao hao wananchi wakigundua balaa lake, sio dogo kabla hata hujafikishwa kwenye vyombo vya usalama, lakini hapa kwetu ni tofauti kabisa, hakuna mtu ana habari naye, labda vyombo vya dola ndio vigundue, au uchichanganye mwenyewe tu.
 
Back
Top Bottom