only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Mbunge wa CDM kamanda WENJE amefanya kazi moja katika kikao cha jioni ya leo baada ya kumuumbua mwenyekiti wa bunge George Simbachawene ambaye alikuwa akiliilinda serikali wakati wa mjadala wa marekebisho ya sheria ya manunuzi ya 2004
M/kiti huyu alionekana akipinga kila wazo la wabunge wanaosema kuwa serikali isinunue vifaa vilivyotumika yaani USED
baada ya kufanya hivyo uvumilivu ulimshinda kamanda WENJE na kuomba muongozo wa M/kiti juu ya maneno yake yanayoonekana kama yanataka kuwabana wabunge katika michango yao
baada ya kauli ya WENJE m/kiti alinyanyuka kwa aibu akaomba asieleweke vibaya
.Alikuwa anaweka mambo sawa kama M/kiti wa Bunge.
Wazo langu:
Huyu jamaa alikuwa anailinda serikali waziwazi....na hii ndio dawa yao.
Wazo langu:
Huyu jamaa alikuwa anailinda serikali waziwazi....na hii ndio dawa yao.