Mmempela na kila siku mnakazana abaki huko nyie ndio mnajua mnataka AMFANYE NANI HUKO na yeye huo si mpango wake, mwambieni huyo mtu apeleke mahaba yake kwa mwingine ila si Lema, kumtsa Lema hakufuti DENI LA SHIGONGO.Lema amejipeleka mwenyewe. Anajua nini amekifuata