TANZIA Mbunge wa zamani wa Vunjo afariki dunia

Informer

JF-Expert Member
Jul 29, 2006
1,582
6,627
Aliyekuwa mbunge wa vunjo mwaka 2000 - 2005 Meja Jesse Jeremiah Makundi (TLP) amefariki dunia leo alfajiri Kilema Hospital alipokuwa akipata matibabu.

Pia alipata kuwa Diwani wa Mwika Kaskazini
 
Aliyekuwa mbunge wa vunjo mwaka 2000 - 2005 Meja Jesse Jeremiah Makundi (TLP) amefariki dunia leo alfajiri Kilema Hospital alipokuwa akipata matibabu.

Pia alipata kuwa Diwani wa Mwika Kaskazini
no comment
 
Apumzike kwa amani mja wake Mola huyu.

Haitakuwa Corona.

Kwanza Gwajiboy keshasema haipo na kwamba hachanjwi mtu!
 
Aliyekuwa mbunge wa vunjo mwaka 2000 - 2005 Meja Jesse Jeremiah Makundi (TLP) amefariki dunia leo alfajiri Kilema Hospital alipokuwa akipata matibabu.

Pia alipata kuwa Diwani wa Mwika Kaskazini
Pole kwa familia aliyo iwacha hapa dunia ni
 
Aliyekuwa mbunge wa vunjo mwaka 2000 - 2005 Meja Jesse Jeremiah Makundi (TLP) amefariki dunia leo alfajiri Kilema Hospital alipokuwa akipata matibabu.

Pia alipata kuwa Diwani wa Mwika Kaskazini
R.I.P Mh
Alikuwa hajachanja?
 
Kabla sijafungua kusoma ndani, nilijua atakuwa Lyatonga. Mungu nisamehe.

Poleni wanafamilia, Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
 
Back
Top Bottom