MmhMatter of time😆😆😆
MmhMatter of time😆😆😆
Kwa nchi kama tz yenye careless na hili suala. Acha tutulie tu😁
Ndio ukweli wenyewe. Jiwe alaaniwe kwa kulidanganya taifa kuwa TZ hakuna covid 19. Eti Mungu amesikia maombi yetu. Pumbavu.Watu wanaokufa ni wengi, Hamuwasikii kwa sababu sio Maarufu!
Kivipi mkuu? Hii misibi ni yetu wote haina chama bwasheeCCM kunani tena?
Rip Semindu Pawa!
Poleni ndugu, jamaa na marafiki.
Mbunge wa zamani wa Morogoro Kusini Mashariki, Semindu Pawa amefariki dunia leo Februari 17
Pawa amewahi kushika nafasi mbalimbali ndani ya CCM na hadi anakutwa na mauti alikuwa mjumbe wa baraza la wazee la CCM
Hahahahahahahahhaahahhaahahahahahhaaa jamani watu wehu..nimecheka sanaNa bajeti ya hizo itapungua ili tuelekeze kwenye Kujenga barabara
Hapo ndipo ninapomkumbuka mwanasayansi Darwin na nadharia ya 'survivor of the fittest' : The weak shall perish and only the strongest shall survive.Nimonia kali itasafisha wazee na wenye magonjwa sugu sanaa msimu huu.
Infact mpaka hali ije itulie wagonjwa wa makundi hayo mawili watakuwa wachachee sana.
Kabisa. Inabidi tuwafungie ndani wastitoke toke, nasi tuwasifuate huko walikoNimonia kali itasafisha wazee na wenye magonjwa sugu sanaa msimu huu.
Infact mpaka hali ije itulie wagonjwa wa makundi hayo mawili watakuwa wachachee sana.