Chadema kwa usahaulifu hamjambo kuna waliomwaga rushwa kama chadema 2015 kipindi cha Lowasa?CCM HATUKUTOA chadema uliza hata walevi wa dar,arusha,mbeya ,manyara ,iringa nk walivyokuwa wakileweshwa bure hadi kuamkia siku ya kupiga kura ..ULIZIA BODA BODA walivyojaziwa mafuta na kulipwa ,ulizia viongozi wa dini walivyolamba rushwa .Katika historia ya Tanzania hakuna chama kilimwaga pesa ya rushwa kama chadema 2015 haijawahi tokea katika historia ya taifa hiliHuwezi kuitenganisha CCM na Rushwa
Hata huyo Mbunge ni mpumbavu,amezisomba tu mtumbani kwa mpembaCCM wamefanya vizuri kuzikataa baiskeli zenyewe ni za akina mama hizo sio za wanaume
baiskeli za wanawake ziko hivi
View attachment 1502388
za wanaume huwa zinakuwa hivi
View attachment 1502390
naona hajui hata tofauti ya baiskeli za kike na kiume
ZA KIKE huwa hamna bomba ya kunyooka kutoka kiti kuelekea kwenye usukani za kiume huwa na bomba la kunyooka
Taja matukio 2 ya waliokamaatwa wakitoa rushwaChadema kwa usahaulifu hamjambo kuna waliomwaga rushwa kama chadema 2015 kipindi cha Lowasa?CCM HATUKUTOA chadema uliza hata walevi wa dar,arusha,mbeya ,manyara ,iringa nk walivyokuwa wakileweshwa bure hadi kuamkia siku ya kupiga kura ..ULIZIA BODA BODA walivyojaziwa mafuta na kulipwa ,ulizia viongozi wa dini walivyolamba rushwa .Katika historia ya Tanzania hakuna chama kilimwaga pesa ya rushwa kama chadema 2015 haijawahi tokea katika historia ya taifa hili
WABUNGE wote wa chadema waliingia kwa rushwa
safari hii rushwa inadhibitiwa chadema haiwezi pata mbunge hata mmoja
Chadema watoe rushwa alafu Takukuru wawe wanaangalia tu acha uongoChadema kwa usahaulifu hamjambo kuna waliomwaga rushwa kama chadema 2015 kipindi cha Lowasa?CCM HATUKUTOA chadema uliza hata walevi wa dar,arusha,mbeya ,manyara ,iringa nk walivyokuwa wakileweshwa bure hadi kuamkia siku ya kupiga kura ..ULIZIA BODA BODA walivyojaziwa mafuta na kulipwa ,ulizia viongozi wa dini walivyolamba rushwa .Katika historia ya Tanzania hakuna chama kilimwaga pesa ya rushwa kama chadema 2015 haijawahi tokea katika historia ya taifa hili
WABUNGE wote wa chadema waliingia kwa rushwa
Safari hii rushwa inadhibitiwa chadema haiwezi pata mbunge hata mmoja
2015 walifumba machoChadema watoe rushwa alafu Takukuru wawe wanaangalia tu acha uongo