Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mbunge wa viti maalumu mkoa wa Kilimanjaro Grace Kiwelu Leo amekutana na kina mama wa kata ya makanya wilaya ya same kwaajili ya kutimiza ahadi yake.
Ikumbukwe mwaka Jana mwezi wa saba katika uchaguzi mdogo wa kata hiyo ya makanya Mh Grace Kiwelu aliahidi kurudi kwenye kata hio baada ya matokeo vovote itakavokua.
Mh Grace ambaye pia ni mwenyekiti wa BAWACHA mkoa wa Kilimanjaro ametoa 800000 tsh kwaajili ya bawacha kata ta makanya kama sehemu ya kujenga baraza la wanawake kata hiyo ya makanya.
Aidha uongozi wa BAWACHA kata ya makanya wamemshukuru sana Mh Grace na kufanya sala maalumu kwaajili ya mbunge Grace Kiwelu.
Ikumbukwe mwaka Jana mwezi wa saba katika uchaguzi mdogo wa kata hiyo ya makanya Mh Grace Kiwelu aliahidi kurudi kwenye kata hio baada ya matokeo vovote itakavokua.
Mh Grace ambaye pia ni mwenyekiti wa BAWACHA mkoa wa Kilimanjaro ametoa 800000 tsh kwaajili ya bawacha kata ta makanya kama sehemu ya kujenga baraza la wanawake kata hiyo ya makanya.
Aidha uongozi wa BAWACHA kata ya makanya wamemshukuru sana Mh Grace na kufanya sala maalumu kwaajili ya mbunge Grace Kiwelu.