Mbunge/kiongozi/diwani/mwanachama, akiwa chadema Ni kamanda ni mtu Safi anatabia nzuri ni kosa kumkosoa.ila akijivua ukamanda uchwara Hana thamani yeyote akishukuru chadema kimembeba na tarariiira nyingi makubwa haya madogo Yana afadhaliHana madhara...
Miaka yote nyumba Togo ilikuwa ofisi ya bavicha walikodi mnyika Kuingia akawa hamisha bavicha kwenye jengo lao
Ila ashukuru kwa kupata mjengo wake na akishukuru
Chama pia kwa kumbeba maana alikuwa hana A wala B....
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
mrangiNimeisikiliza hii video hadi machozi yanenitoka kwa huu unyanyasaji unaofanyika huko chadema,huyu Dada ni mbunge viti maalumu,anaitwa Sabrina Hamza Sungura toka kigoma,anadai chadema na uongozi wa juu umevuruga ndoa yake,Serikali yangu tukufu naiomba iingilie kati swala hili La chadema kuwanyanyasa wabunge wa kike,ikiwezekana. Mwenyekiti afunguliwe mashitaka ya uchanyanyasaji wa kijinsia
Video hii hapa >>
Sent using Jamii Forums mobile app
Machozi hayakukutoka Wabunge wa Ccm kuzuia kwenda kumuona Mbunge mwenzao hospital Nairobi,unamlilia huyo dada?Nimeisikiliza hii video hadi machozi yanenitoka kwa huu unyanyasaji unaofanyika huko chadema,huyu Dada ni mbunge viti maalumu,anaitwa Sabrina Hamza Sungura toka kigoma,anadai chadema na uongozi wa juu umevuruga ndoa yake,Serikali yangu tukufu naiomba iingilie kati swala hili La chadema kuwanyanyasa wabunge wa kike,ikiwezekana. Mwenyekiti afunguliwe mashitaka ya uchanyanyasaji wa kijinsia
Video hii hapa >>
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeisikiliza hii video hadi machozi yanenitoka kwa huu unyanyasaji unaofanyika huko chadema,huyu Dada ni mbunge viti maalumu,anaitwa Sabrina Hamza Sungura toka kigoma,anadai chadema na uongozi wa juu umevuruga ndoa yake,Serikali yangu tukufu naiomba iingilie kati swala hili La chadema kuwanyanyasa wabunge wa kike,ikiwezekana. Mwenyekiti afunguliwe mashitaka ya uchanyanyasaji wa kijinsia
Video hii hapa >>
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwamba anawataka wote!Chadema masikini!
Chadema walitaka aolewe na nani huyu dada?
Chadema majanga kila anayehama kanunuliwa, mna akili gani hizo? Wakienda CCM, wamenunuliwa, wakienda nccr mageuzi eti CCM imewanunulia, kwani huko CDM wote ni bidhaa hakuna wanaofikiria kwa akili zao wakahama bila kanunuliwa? Au huko CDM hakuna Hali ya kikatiba ya mtu kuhama ?CCM wanachekesha sana,baada ya kuona watu wamewashtukia wananunua upinzani wakaamua kuwafanyia shopping NCCR,baada ya watu pia kushtukia NCCR ni mpango wa kando wameamua sasa hivi kuwanunua na kuwahamishia CUF.
Hongera CCM,sasa hivi mmekuwa na wake watatu ,CUF,NCCR na TLP.
CUF ni mke mkubwa wakati wowote yupo hata umtende ,TLP ni mke wa pili,hapendwi ila analazimisha mapenzi ,mke mdogo ni NCCR mageuzi kwa sasa mapenzi yapo on fire
Mbona hajasema kaolewa na Mbowe? Yeye hamjui Mbowe Hadi akitongozwa mitaani aseme ni Mbowe? Mwambieni Mbowe aache wake za watu.Naona upuuzi unaendelea, hata wakitongozwa huko mtaani watasema Mbowe.
Na wewe mleta mada dhaifu sana.
Sasa tueleze kwanini mliona ni mweupe kabisa halafu mkaamua kumbeba. Pia tueleze alibebwa na Nani na kwa sababu gani.
Haha Mbowe atabaki na wenzi wenzie tu akina Lema,Halima na shoga wake Bulaya,Msigwa na SuguView attachment 1463673
Mbunge wa Viti maalumu Kigoma, Sabriana Sungura ameambatana sambamba na aliyekuwa Mbunge wa Bukoba Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Wilfred Rwakatale kuhamia chama cha Wananchi CUF.
Aidha, katika katika shamrashamra za Wabunge hao kupokelewa katika Chama cha CUF, Mh. Sabriana Sungura amesema ameamua kujiunga na chama hicho kwa lengo kupata haki sawa na furaha baada ya kuikosa kwa muda mrefu katika Chama Cha Demokrasia na Maendeleo,CHADEMA.
Amesem, katika chama hakukuwa na haki wala furaha badala yake kilitawaliwa na ubinafsi pamoja umimi.
” Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kimetawaliwa na ubinafsi pamoja na umimi,kwani baada ya kufunga ndoa na mtu anayetoka katika Chama Cha Wananchi CUF nilinuniwa pamoja na kutegwa kwa madai kuwa natoa siri za chama,”amesema Sabrina.
Amesema kuwa, baada ya kuona hayo moja kwa moja kwa imani yake aliona jambo hilo ni la ubinafsi na kuamua kutazama pembeni.
Naye, Makamu Nwenyekiti wa CUF Bara, Maftah Nachuma, amesema chama hicho kimejipanga kuhakikisha kinashika dola pamoja na kurudisha heshima iliyokuwepo awali.
Amesema,ujio wa wabunge hao ni mzuri na umelenga kukifikisha Chama Cha CUF mbali kwa kuhakikisha itikadi ya haki sawa kwa wote inatekelezwa.
“Chama Cha CUF kimezaliwa upya Sasa kwa pamoja tunashiriki na kusimama imara kuhakikisha chama kinasonga mbele,”amesema Nachuma.
PIA SOMA - Wilfred Lwakatare arejea CUF baada ya kufutwa uanachama CHADEMA. Kutumika kuiangamiza CHADEMA