Mbunge wa Viti Maalum Kundi la Vijana UVCCM Mhe. Ng'wasi Kamani amewaasa Vijana kuendelea Kumuunga Mkono Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ambaye anaendelea kuleta Maendeleo makubwa sana kwa Vijana na Jamii kwa ujumla.
Ameyasema hayo kwenye Baraza Kuu la UVCCM Mkoa wa Shinyanga.
Ameyasema hayo kwenye Baraza Kuu la UVCCM Mkoa wa Shinyanga.