TANZIA Mbunge wa Viti Maalum (CCM) mkoa wa Rukwa, Irene Ndyamukama afariki dunia

Daah huruma sana! Ila hizi hospital za serikali majanga. Mwaka jana mwezi wa 10 nilijifungua kwa operation temeke, kwakweli ni Mungu tu alinitoa salama. complication zilikua nyingi yaan nakumbuka dr(mdada) alokua ananifanyia operation alikua amewasha mziki(kwenye simu) thieta anacheza anatafuna bigi jii kifupi alikua anaona kama yuko na mdoli hakua serious kabisa.. yaani nlikua nasali sala zote mle ndani nitoke tu salama, ila uzembe ni mwingi mno kama hapo temeke kumeozaa.
Kwa hii issue ya huyu mbunge tusisingizie madaktari, alipaswa kupumzika kwa kuwa alikuwa kwenye wiki chache kuelekea kujifungua na hata kwenye ndege walimzuia maana kwenye ndege kama una mimba zaidi ya wiki 34/35 hawakuruhusu kusafiri lakini pamoja na kumzuia lakini bado alisafiri kwa gari kutoka Dodoma. Inasikitisha kumpoteza Mtz mwenzetu (RIP) ila kupunguza mishemishe hasa safari zisizo na lazima wiki chache kabla ya kujifungua ni muhimu sana japokuwa mazoezi ni muhimu ila isiwe kwenye hali ya kujitesa.

Possibly amefika hospitali hali ikiwa mbaya maana uchungu umemkuta akiwa safarini, lakini pia inaweza ikawa hospitali zetu hizi kama ulivyosema
 
Kwa hii issue ya huyu mbunge tusisingizie madaktari, alipaswa kupumzika kwa kuwa alikuwa kwenye wiki chache kuelekea kujifungua na hata kwenye ndege walimzuia maana kwenye ndege kama una mimba zaidi ya wiki 34/35 hawakuruhusu kusafiri lakini pamoja na kumzuia lakini bado alisafiri kwa gari kutoka Dodoma. Inasikitisha kumpoteza Mtz mwenzetu (RIP) ila kupunguza mishemishe hasa safari zisizo na lazima wiki chache kabla ya kujifungua ni muhimu sana japokuwa mazoezi ni muhimu ila isiwe kwenye hali ya kujitesa.

Possibly amefika hospitali hali ikiwa mbaya maana uchungu umemkuta akiwa safarini, lakini pia inaweza ikawa hospitali zetu hizi kama ulivyosema
Ndo hivo rafiki yote yanawezekana kwenye nchi yetu, kikubwa sisi wenyewe tujitahidi sana kuepuka kujiweka kwenye mazingira hatarishi maana hospital zetu tunazijua wenyewe
 
Usiwe na wasiwasi... Anaweza akajifungua kawaida tu bila operation tena endapo sababu zilizopelekea kujifungua kwa operation mwanzo zilikuwa ni mtoto... Haikuwa kwa sababu ya maumbile ya mama...

Kama sababu ni mtoto... TAHADHARI JAMANI KWA WAJAWAZITO WOTE ESPECIALLY UJAUZITO WA KWANZA...

USIKURUPUKE KUMUWAHISHA MJAMZITO HOSPITALI PINDI TU UCHUNGU UKIANZA... MPAKA UJIHAKIKISHIE CHUPA IMEPASUKA... NA ANDAENI MAZINGIRA MAPEMA YA KUJIFUNGUA HATA AKIWA NJIANI ANAENDA HOSPITAL...

KOSA TUNALOLIFANYA WENGI... MKE ANAWAHI HOSPITAL UCHUNGU TU UNAPOANZA... UKIFIKA TU MOJA KWA MOJA THEATRE... HASA HOSPITAL ZA PRIVATE(Hapa maslah ya kipesa)... Hospital za serikali... Kama kuna wanafunzi ndio PRACTICAL SPECIMEN... AU UVIVU...

FACTOR NYINGINE... OPERATION ZIMEKUWA NYINGI HIVI SASA... ILI KUPUNGUZA RATE YA KUZALIANA(Uzazi wa mpango kwa lazima) ... COZ UZAZI WA OPERATION UNA LIMIT YA KUZAA...

USIMUWAHISHE MKEO HOSPITAL... LABDA ALIGUNDULIKA ANA KIFAFA CHA MIMBA AU PRESSURE YA MIMBA WAKATI WA CLINIC... KAMA ALIKUWA SALAMA TU... BASI WEWE MWACHE APAMBANE NA MAZOEZI MPAKA CHUPA IPASUKE NDIO MUENDE LABOUR...
Samahani sana kiongozi. Nadhani uandike vile ambavyo una uhakika navyo. Shida yetu ni kujifanya tunajua kila kitu. Haya uliyoongea ni upotoshaji mkubwa. Nikuhakikishie hakuna daktari au muuguzi duniani anayependa kusababisha kifo kwa binadamu mwingine. Vifo vingi vitokeavyo ni hama mazingira ya kazi si wezeshi na hivyo mtoa huduma anakuwa hana namna nyingine zaidi. Pili maneno kama yako haya ndio yanasababisha watu wengi kuchelew kutafuta huduma, hivyo kuwa katika hatari zaidi kwani inakuwa mgonjwa au mteja amefikishwa katika nafasi ambayo huwezi saidia. Tuwaachie wataalamu na tusionglee vitu ambavyo hatuvijui
 
Hili jina Ndyamukama utafikiri nila kule wanakolima kahawa na ndizi.
Au binti kaolewa huko?

Alikuwa binti yake wa Mbunge wa viti maalum mkoa wa Katavi Mama Lupembe! Mtoto alikuwa Viti maalum Rukwa, Mama Viti maalum Katavi! Hao ni Wabena ila huyu binti aliolewa na Muhaya! Walikuwaga na Hotel pale Mpanda ikiitwa enzi hizo Lake Tanganyika hotel na nyingine Sumbawanga ikiitwa White Inn hotel! Nadhani zote zimeshakufa sasa!
 
Mama wa marehemu nadhani ni mfipa anaitwa Lupembe kama sijakosea ni mbunge wa jimbo fulani huko Katavi.

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app

Mama Lupembe siyo Mfipa ni Mbena aliyeweka maskani yake Mpanda. Pia yeye ni Mbunge wa viti Maum mkoa wa Katavi! Mama na mtoto wote walikuwa wabunge wa viti maalum kwa mikoa tofauti ya jirani!
 
Kwa hii issue ya huyu mbunge tusisingizie madaktari, alipaswa kupumzika kwa kuwa alikuwa kwenye wiki chache kuelekea kujifungua na hata kwenye ndege walimzuia maana kwenye ndege kama una mimba zaidi ya wiki 34/35 hawakuruhusu kusafiri lakini pamoja na kumzuia lakini bado alisafiri kwa gari kutoka Dodoma. Inasikitisha kumpoteza Mtz mwenzetu (RIP) ila kupunguza mishemishe hasa safari zisizo na lazima wiki chache kabla ya kujifungua ni muhimu sana japokuwa mazoezi ni muhimu ila isiwe kwenye hali ya kujitesa.

Possibly amefika hospitali hali ikiwa mbaya maana uchungu umemkuta akiwa safarini, lakini pia inaweza ikawa hospitali zetu hizi kama ulivyosema
Hii yaweza kuwa kweli mkuu,maana dada Irene tulikuwa naye arusha wiki hiyohiyo,alikuwa na mradi wake huko,na mume wake Mr Alex ndiye alikuwa akiusimamia,ila dada hakuwa mtu wa kutulia sehemu moja,alikuwa anasaka pesa kupita maelezo,watu wengi walikuwa wakimshauri atenge muda wa kupumzika,ila ndiyo vile alikuwa kwenye killed cha mafanikio na hakutaka fursa yoyote impite,Rip Irene tutaonana mbele
 
Back
Top Bottom