Pelle mza
JF-Expert Member
- May 15, 2008
- 3,050
- 1,692
Kwa hiyo NCCR ni house quarantine.CCM imewaambia kwamba waende kwanza NCCR kama kituo cha mda lakini lengo ni kwenda ccm au watafadhiliwa hukohuko nccr
Kwa hiyo NCCR ni house quarantine.CCM imewaambia kwamba waende kwanza NCCR kama kituo cha mda lakini lengo ni kwenda ccm au watafadhiliwa hukohuko nccr
Duh! Inafikirisha sana.Walioshiriki kuwatenganisha Mbowe na Zitto wamemaliza kazi sasa wanaondoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni Mzee wa shanga tu.Kubenea alikuwa anabebwa na chama ila yeye binafsi ni mwepesi sana
Dah!!Haya sasa ni maneno ya kujifariji...kirahisi tu hivyo mkuu wangu!!!!
Hahahaha filtration au tohara House!!Kwa hiyo NCCR ni house quarantine
History haionyeshi Kama jiwe limewahi shinda chochote nje ya kubebwa
History haionyeshi Kama jiwe limewahi shinda chochote nje ya kubebwa
Aende anakoenda ila ule mpango wao wa kikiua chama cha demokrasia na maendeleo umegonga mwambaAnaenda ACT
Kamanda unapenda kujifurahisha eenh?mafisiem wataanza kumlamba miguu na kumsafisha
Hivi wapinzani wana pambana wenyewe au na ccmhahahaha hahahha, nimzepata za chini chini, kubea leo anang'oka Rasmi chadema na kujiunga na Nccr Mageuzi na ameisha aidiwa ukatibu mkuu .
Nccr inaamini ikimpata kibenea sjui kubenea itakuwa imepata mtu wa kumchachafya John Mnyika katibu mkuu chadema.
kwa sasa vyama vya upinzani havina tena ajenda ya kuungana kuing'oa ccm bali vinaparulana vyenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuhizi hawaendi tena CCM, bali wanapelekwa kwa mkopo NCCRMbunge wa Jimbo la Ubungo Mhe. Said Kubenea, kesho Alhamis Aprili 2, 2020 atazungumza na waandishi wa habari moja kwa moja kutoka ofisi za gazeti la MwanaHALISI Kinondoni, jijini Dar es salaam.
Unazungumzia mnyika huyu aliyekuwa dhaifu jimboni haonekani anaishi kama digidigi jimboni
Wanakibamba wanahasira naye hata akiwekwa hata na mbwa .mbwa anashinda
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa unambwembwe sanaKwa hiyo NCCR ni house quarantine
Wacha tufurahi kwasasa maisha yenyewe haya tumezungukwa na corona kila kona ya dunia,ila huo ndo ukweliKamanda unapenda kujifurahisha eenh?
Haya, sawa.Wacha tufurahi kwasasa maisha yenyewe haya tumezungukwa na corona kila kona ya dunia,ila huo ndo ukweli
Ahahahahaaaaaa imagination zinalazimishwa ziwe uhalisia, kwann tusijikite kuutafuta ukweli ndiyo tuuweke hadharani......... Itatusaidia maana vinginevyo tutakuwa sawa na uncivilized people ambao zamani walikuwa wakiumwa malaria wanasema jirani kamloga bila kushugulika na mbu anayeeneza malaria. Chadema na upinzani kwa ujumla swala la watu kuhama chama ni tafsiri kuwa Kuna vitu haviko sawa ndani yenu na Mara nyingi wanaoondoka wanaeleza mengi yaliyokuwa chini ya kapeti ambayo kama wahusika tungeyafanyia kazi bila shaka tungejikwamua hapo kuliko kila leo kumuona CCM ndiye mbaya wetu namba moja, vinginevyo kama imani hiyo itaendelea CDM na upinzani kwa ujumla hautakaa kuwa imara hata siku moja.CCM imewaambia kwamba waende kwanza NCCR kama kituo cha mda lakini lengo ni kwenda ccm au watafadhiliwa hukohuko nccr