Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea akifanya majukumu ya Jimbo

cantonna

JF-Expert Member
Mar 11, 2013
1,120
439
db9ce73c7796b759d45fccb2a9b19291.jpg
906bc1681f10f2c9d3827039a720510d.jpg
8243f84be76ee7ec95d81aab7aebcb0e.jpg
Mhe Saed kubenea akiwa jimbo la kibamba akipiga kazi aliyoagizwa na Wananchi WA eneo hilo,eneo la SUCA nyuma ya stand kuu..

MH. baada yakuondolewa bungeni amerudi Jimboni na kuleta kampuni toka ISRAEL. ambayo inajenga barabara kipande kutoka SUCA kilichopo jimboni kwa JOHN MNYIKA mpaka GOLANI ambapo ni jimboni kwake.... MH. KUBENEA.

NILIKUWA NAOMBA MNO WABUNGE WOTE WA UKAWA WAPEWE ADHABU ILI TUPIGE KAZI SASA MAJIMBONI KWETU MAANA HUU NDIO MUDA WENYEWE MANA KAMA MIDOMO WAMEZIBA, NINAJUA WATAHAMIA KWENYE MAJIMBO YENU KUWEKA VIKWAZO.

Kazi inafanyika kwa Ushirikiano Mkubwa WA Wabunge hao vijana chino ya chama chao.

Mungu awape hekima kuliko Za akina Suleiman ili Mtende kwa Uadilifu na weledi.
 
"MH. baada yakuondolewa bungeni amerudi Jimboni na kuleta kampuni toka ISRAEL."
kama ni yeye ndie aliyeileta kwa gharama zake tumshukuru kwa hilo kwa kweli kwa kutujali wananchi..............
 
Acheni kiki za uwongo hata zungu wa ilala anaweza kupiga picha kwenye ujenzi unaoendelea Tazara akasema ni yeye amewaleta.
 
Yaani hiyo picha haionyeshi kama yupo kazin ila alienda kutwanga photo! Hadi ameweka pozi la mikono mfukoni!!
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom