tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,671
- 19,186
Tatizo kila akisimama kuongea, anaongea pumba
Tatizo kila akisimama kuongea, anaongea pumba
Gigi mane katika ubora wako
Kwa uongo? Kaleta yeye mkandarasi toka Israel wakati tenda ya huo mradi ulifanywa na halmashauri (serikali)na ndiye mlipaji. Kubenea kaenda kupiga picha kisha kukupa wewe mwepesi kudanganywa nawe unaongopea wajinga wenzio wa chadema. Watu wa ubungo wanajuta kuchagua hilo furushi.Mhe Saed kubenea akiwa jimbo la kibamba akipiga kazi aliyoagizwa na Wananchi WA eneo hilo,eneo la SUCA nyuma ya stand kuu..
MH. baada yakuondolewa bungeni amerudi Jimboni na kuleta kampuni toka ISRAEL. ambayo inajenga barabara kipande kutoka SUCA kilichopo jimboni kwa JOHN MNYIKA mpaka GOLANI ambapo ni jimboni kwake.... MH. KUBENEA.
NILIKUWA NAOMBA MNO WABUNGE WOTE WA UKAWA WAPEWE ADHABU ILI TUPIGE KAZI SASA MAJIMBONI KWETU MAANA HUU NDIO MUDA WENYEWE MANA KAMA MIDOMO WAMEZIBA, NINAJUA WATAHAMIA KWENYE MAJIMBO YENU KUWEKA VIKWAZO.
Kazi inafanyika kwa Ushirikiano Mkubwa WA Wabunge hao vijana chino ya chama chao.
Mungu awape hekima kuliko Za akina Suleiman ili Mtende kwa Uadilifu na weledi.
Kazi ya mbunge no kusimamia serikali.....mbona unatokwa povu Hugo mkandalasi kaletwa na halmashauri inayoongozwa na cdm sasa tatizo liko wapi kwa yy kusimamia ili kazi ifanyike kwa ubora???Kwa uongo? Kaleta yeye mkandarasi toka Israel wakati tenda ya huo mradi ulifanywa na halmashauri (serikali)na ndiye mlipaji. Kubenea kaenda kupiga picha kisha kukupa wewe mwepesi kudanganywa nawe unaongopea wajinga wenzio wa chadema. Watu wa ubungo wanajuta kuchagua hilo furushi.
Ndio vitendo gani hivyo na ulifanyiwa na nani? Lini? Wapi? Je ulijisikiaje?Naona una hamu ya kumbunyuliwa....mmbunyuaji npo hapa!!!
Binti wa kihindi kumbe unaogopa ujauzito kwasababu barabara mbaya? Mwakyembe atasimamia hilo ili wananchi wa huko washuhudie mimba ya binti wa kihindi ilivyo.Safi sana Kubenea , nawaonea wivu sana wananchi wa ubungo , sisi jimbo letu la Kyela barabara ni mahandaki matupu , kutoka boda hadi itungi port wajawazito wamekatazwa kupanda magari , wanaweza kujifungua muda si wenyewe , najisikia aibu sana .
Si ndio maana ameingia field kupiga kazi?Tatizo kila akisimama kuongea, anaongea pumba
Ndio maana unaitwa mjinga. Kandarasi hiyo imeanza kipindi kilichopita ndipo tenda iliitishwa ikafunguliwa akapatikana mshindi ikasainiwa mikataba na kuanza kuingiza vifaa toka nje. Kwa hii miezi minane taratibu zote hizo haziwezi kuwa zimefikisha mradi hapo. Pia mradi ulihitaji upembuzi yakinifu, michoro ndipo mahitaji yajulikane ili wakandarasi wayatumie kuandaa gharama. Hatua zote hizi hazijafanywa na chadema. Hapa huyu anaangalia zao la akili za wanaccm waliopita. Acha uongo!!!!!Kazi ya mbunge no kusimamia serikali.....mbona unatokwa povu Hugo mkandalasi kaletwa na halmashauri inayoongozwa na cdm sasa tatizo liko wapi kwa yy kusimamia ili kazi ifanyike kwa ubora???
Nyani haoni kundule....Tatizo kila akisimama kuongea, anaongea pumba
Muulize Mkuchika , Mzee wa watu kaamua ajifie na tai shingoni ili kuokoa jahazi !athibitishe tuhuma alizompakazia hussein mwinyi
Hivi wewe mamluki unaifahamu kyela au unatumika tu humu jf ?Binti wa kihindi kumbe unaogopa ujauzito kwasababu barabara mbaya? Mwakyembe atasimamia hilo ili wananchi wa huko washuhudie mimba ya binti wa kihindi ilivyo.