Wakati Kamati Kuu ikiendelea na uchujaji wa majina ya wagombea nafasi za Mwenyekiti na Makamu Wenyeviti CHADEMA Taarifa za hivi punde zinasema Mgombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti Bara Saed Kubenea amejitoa.
Kubenea amesema amejitoa kwa sababu anaamini mgombea mwenzake Tundu Lissu anafaa kushika nafasi hiyo.
=====
Habari Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amesema mwanasheria mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu anafaa kuwa makamu mwenyekiti wa chama hicho, hivyo amejitoa kugombania nafasi hiyo katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Desemba 18, Mwaka huu.
Kubenea amesema amejitoa kwa sababu anaamini mgombea mwenzake Tundu Lissu anafaa kushika nafasi hiyo.
=====
Habari Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea amesema mwanasheria mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu anafaa kuwa makamu mwenyekiti wa chama hicho, hivyo amejitoa kugombania nafasi hiyo katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Desemba 18, Mwaka huu.