124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,802
- 5,494
Katika hizi shuhuli za miaka 50 ya uhuru wa bendera na ktk ila mechi ya simba na yanga Alshabaab waliwapa taarifa polisi kuwa hawatafanya shambulio that why polisi haijazuia mikusanyiko hiyo kufanyika.
Mi nafikiria sherehe za eid kesho itabidi ziahirishwe maana alshabaab sijui kama wametoa ruksa, na pia itabidi tusifanye mikutaniko ya ibada