Mtz.mzalendo
JF-Expert Member
- Jul 22, 2012
- 357
- 49
Sh.ponda ni jembe tofauti nawale wachungaji kule mjengongq
sema na chama uyo ponda atakacho gombea magamba, adc au cuf?
nchi hii iliyomilikiwa na mtakatifu nyerere na mnajitahidi kutaka kummilikisha padre slaa 2015 ni lazima mtamkejeli shekh ponda mwenye uwezo mkubwa wa kuondoa udhalimu ktk nchii. Mnyika hana uwezo kumlinganisha na shekh ponda.
atavaa gwanda au hamuwezi kumkaribsha?
Kwani watakuwa wanashindania vyeo vya kidini? kuwa watamchagua kwa sifa ya kuwa m-Islamu!.Kashfa, dharau, kejeli kwa Waislamu ndivyo vilivyoifikisha nchi hapa ilipo! litafutwe suluhisho!
Je unaonaje Waislamu kwa wingi wakihamishia adress zao za ukazi ubungo ili wakamchague Sheikh Ponda?
Sensa ilikuwa hivihivi tulisema hapa mwanzo kabisa itafutwe suluhu tukaambiwa "tokeni mapovu mpaka mwisho lakini kipengele cha dini hakiingizwi period" ,"sahani za pilau zikitembezwa tu watatulia" n.k angalia sasa mabilioni ya pesa yanateketea bure!
Na ninafikiri hakuna funzo lilopatikana kutokana na sensa.
nchi hii iliyomilikiwa na mtakatifu nyerere na mnajitahidi kutaka kummilikisha padre slaa 2015 ni lazima mtamkejeli shekh ponda mwenye uwezo mkubwa wa kuondoa udhalimu ktk nchii. Mnyika hana uwezo kumlinganisha na shekh ponda.
Sh.ponda ni jembe tofauti nawale wachungaji kule mjengongq
kweli kabisa shehe ponda kugombea ni ukombozi mkubwa kwa watu wa ubungo wana jf tuungane kumpa sapoti kubwa mkombozi huyu shehe ponda
ninachokipenda kwa ndugu zangu waislam ni mabinti wao tu. Ama kwa hakika mabinti wa kiislam wengi wao ni wasafi, wanajipenda na kwenye yale mambo yetu aaah mashallah. nimekuwa nao kadhaa na hata huyu nilienae sasa ni mwislam... Japo nasikitika sitamwao na yeye mwenyewe analitambua hilo.
kashfa, dharau, kejeli kwa waislamu ndivyo vilivyoifikisha nchi hapa ilipo! Litafutwe suluhisho!
Je unaonaje waislamu kwa wingi wakihamishia adress zao za ukazi ubungo ili wakamchague sheikh ponda?
Sensa ilikuwa hivihivi tulisema hapa mwanzo kabisa itafutwe suluhu tukaambiwa "tokeni mapovu mpaka mwisho lakini kipengele cha dini hakiingizwi period" ,"sahani za pilau zikitembezwa tu watatulia" n.k angalia sasa mabilioni ya pesa yanateketea bure!
Na ninafikiri hakuna funzo lilopatikana kutokana na sensa.