Kosa lolote la barabarani linaweza kukufikisha mahakamani mahabusu au jela kabisa. Mbunge lazima uwe mfano Kwani ndiye mtunzi wa sheria ni aibu Kwa mbunge kuendesha gari bila bima. Raia mwema hawezi kumchukia polisi bali atampenda sana lkn mhalifu ndiye humchukia polisiHivi hizi jela zetu zipo kwa ajili ya rehabilitation au kukomoana?gari bila bima ni kosa la kukulaza ndani?polisi wetu naamini wanafundishwa jinsi ya kutumia busara wanapokabiliwa na mtuhumiwa mwenye hasira as far haatarishi usalama wa polisi,raia wengine na yeye mwenyewe,na kuendesha gari bila bima lina hasara zaidi kwa mwenye gari hasa linapohusika kwenye ajali sio kosa la kumpeleka mtu rumande,again narudia tunazidi kujenga chuki kati ya raia na polisi na kutengeneza generations ya ghasira,visasi na chuki,time will tell.
Sent using Jamii Forums mobile app