Hata kwa walio uza nyumba za serikali
Hivi hizi jela zetu zipo kwa ajili ya rehabilitation au kukomoana?gari bila bima ni kosa la kukulaza ndani?polisi wetu naamini wanafundishwa jinsi ya kutumia busara wanapokabiliwa na mtuhumiwa mwenye hasira as far haatarishi usalama wa polisi,raia wengine na yeye mwenyewe,na kuendesha gari bila bima lina hasara zaidi kwa mwenye gari hasa linapohusika kwenye ajali sio kosa la kumpeleka mtu rumande,again narudia tunazidi kujenga chuki kati ya raia na polisi na kutengeneza generations ya ghasira,visasi na chuki,time will tell.
Watu tunapenda tu kulalamika lakini traffic case kwa nchi yetu Zipo poa sana, kama mh Mtolea angewasikiliza polisi wala isingefika huko ilipofika, tatizo ni kulifikilia jambo kwa upande mmoja tu kuwa huyu ni mpinzani,Na RAIA wengine wasiokuwa na Bima ya gari huwa wanawekwa korokoroni!!? Au ni huyu kwa vile si mwenzetu? na angekuwa ni Mh. Zungu angefanyiwa the same???! Let's treat each equally and not according to partisizim
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo Rais wetu tutafanyeje sasa!Alifukuzwa seminari.
Mvunja madirisha kalipa au sio kitu cha M! ha ha ha! una uhakika gani sio kodi yako!Alisepa, hakutii sheria bila shuruti !
Awamu kiwango chetu cha kufikiri kinaporomoka sana. Polisi akisema mtuhumiwa aliwadharau usikimbilie kuwaamini kuwa eti ni kweli wakati mtuhumiwa huna maelezo yake! Na ndio maana kuna mahakama ambako polisi wanapaswa kuthibitisha!YEYE Mbunge aliondoka na kudharau police, umeelewa kilichoandikwa? Huenda angesikiliza police angepigwa faini tu ya kuendesha gari bila insurance, sasa kuwaacha traffic police ni kuwadharau na kudharau sheria za barabarani.
Lazima tuwe fair sana ktk kutii sheria, mbunge mzima anaendesha gari bila INSURANCE? Halafu anasimamishwa anahojiwa anawadharau police anaondoka zake?
Hii ni dharau sana na kuvunja sheria, Lazima tuwe makini while judging mtu akifanya kosa.
Dhana ya kuona wapinzani wanaonewa tu ni kosa..
Sisi ni Tit for Tat...unamwaga mboga wao ugali unamwagwa hapohapoHivi hizi jela zetu zipo kwa ajili ya rehabilitation au kukomoana?gari bila bima ni kosa la kukulaza ndani?polisi wetu naamini wanafundishwa jinsi ya kutumia busara wanapokabiliwa na mtuhumiwa mwenye hasira as far haatarishi usalama wa polisi,raia wengine na yeye mwenyewe,na kuendesha gari bila bima lina hasara zaidi kwa mwenye gari hasa linapohusika kwenye ajali sio kosa la kumpeleka mtu rumande,again narudia tunazidi kujenga chuki kati ya raia na polisi na kutengeneza generations ya ghasira,visasi na chuki,time will tell.
Hata mbunge kila senti yake ni kodi !Mvunja madirisha kalipa au sio kitu cha M! ha ha ha! una uhakika gani sio kodi yako!
Dawa ni kutokufanya makosaSipendagi kurumbana na polisi maana wanaweza kukulaza ndani ili wakuoneshe wao wanaweza kufanya hivyo.
Na ndio maana huwa wakinikamata nawaambia waniandikie au wachukue rushwa, kupotezeana muda kisa 30000 hapana
Tujitahidi kuwa makini maana hawa watu wana hasira na sifa juu