was njombe
Member
- Sep 8, 2020
- 6
- 9
Hizi ni salaam za Mbunge wa Temeke ktk ziara ya Rais mkoani Dar es Salaam.
Ukweli ni kuwa ulipaswa uombe TAKUKURU ili ichunguze mkopo mliochukua CRDB badala ya kuomba Serikali kuu ilipe.
Dada yangu umekosea Sana na ninamuunga mkono Rais, ana haki ya kuukataa. Ni ufisadi tosha.
Muundo wa Serikali ya Temeke ni Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi wa Wilaya na Baraza la Halmashauri ukiwemo wewe mbunge Dorothy Kilave.
Pole Sana.
Ukweli ni kuwa ulipaswa uombe TAKUKURU ili ichunguze mkopo mliochukua CRDB badala ya kuomba Serikali kuu ilipe.
Dada yangu umekosea Sana na ninamuunga mkono Rais, ana haki ya kuukataa. Ni ufisadi tosha.
Muundo wa Serikali ya Temeke ni Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi wa Wilaya na Baraza la Halmashauri ukiwemo wewe mbunge Dorothy Kilave.
Pole Sana.