Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,682
Acheni ujinga wenu. Mtu ahamasishe vurugu msingizie kinga ya kibunge?I wonder
Sheria hairuhusu kumpatiliza mbunge kwa anachoongea bungeni. Lakini sishangai, polisi wetu weledi ni 0% kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni ujinga wenu. Mtu ahamasishe vurugu msingizie kinga ya kibunge?I wonder
Sheria hairuhusu kumpatiliza mbunge kwa anachoongea bungeni. Lakini sishangai, polisi wetu weledi ni 0% kabisa.
1. Rais na serikali nzima imetwambia kuwa Acacia ni majiziTuwe Na tahadhari na hawa wanasiasa ambao wanaweza kutuletea matatizo kama ya Zimbabwe ya kuvamia mashamba ya wazungu. Ni Muhimu mtu mzima kama mbunge kuheshimu utawala wa sheria.
Amehamasisha vipi vurugu?Acheni ujinga wenu. Mtu ahamasishe vurugu msingizie kinga ya kibunge?
Polisi wamkamate huyo Heche haraka iwezekanavyo. Wasicheke na nyani. Hatutaki kuvuna mabua.
Tuwe Na tahadhari na hawa wanasiasa ambao wanaweza kutuletea matatizo kama ya Zimbabwe ya kuvamia mashamba ya wazungu. Ni Muhimu mtu mzima kama mbunge kuheshimu utawala wa sheria.
Kinachoongelewa ni kauli zao. Kwani Heche alikwenda Mara kuwahamasisha hao wananchi? Si yuko Dodoma kwenye vikao vya bunge? Tofauti hapo ni aina ya watu, wasukuma wa huko Koromije na hao "wana-Mara" nadhani wanatofautiana ushupavu/ujasiri/uogaHiyo mitambo iling'olewa?
Serikali imetwambia hakuna utaratibu katika kukamata mwizi wako.Kuna taratibu za kisheria za ku-deal na wezi.
Si holela, itakula kwake
Katiba ya JMT inampa mbunge kinga ya kutokamatwa na mamlaka yoyote nje ya bunge kwa kitu alichoongea au kutamka akiwa ndani ya BungeMbunge wa Tarime Vijijni John Heche anasakwa na Jeshi la Polisi. Heche anasakwa na jeshi hilo huku kukiwa na taarifa kwamba jeshi hilo linataka kumhoji kufuatia kauli aliyoitoa bungeni mjini Dodoma wiki iliyopita ya kuwahamasisha wananchi wa jimbo lake kulinda rasilimali zao.
Mbunge huyo wa CHADEMA, aliliambia bunge kwamba atawaongoza wananchi wa jimbo lake kuzuia Madini na rasilimali nyingine kusafirishwa nje ya nchi na Mgodi wa North Mara. Heche alikuwa anachangia hotuba ya bajeti ambapo katika mchango wake aligusia pia suala la Taarifa ya pili ya Mchanga wa dhahabu iliyoundwa na rais Dk John Pombe Magufuli.
Siku chcahe zilizopita zaidi ya wananchi 300 wanaoishi vijiji vinavyozunguka mgodi huo walivamia mgodini hapo na kufanya vurugu zilizodhibitiwa na Polisi.
Tuwe Na tahadhari na hawa wanasiasa ambao wanaweza kutuletea matatizo kama ya Zimbabwe ya kuvamia mashamba ya wazungu. Ni Muhimu mtu mzima kama mbunge kuheshimu utawala wa sheria.
I do support Heche in his political ambitions and deeds, BUT, I must say I do not condone a state of lawlessness! Tungelitafuta namna ya kuwaondo "wezi". Hata kama Rais alitamka, rais ni mtu kama wewe na mimi na si ajabu unamzidi maarifa/kufikiri etc; huwezi kuwaamrisha watu wafanye fujo (lawlessness) kwa vile rais aliwaita "wezi"! Tunazuia mob justice, Heche you are advocating Mob justice! NO!Mbunge wa Tarime Vijijni John Heche anasakwa na Jeshi la Polisi. Heche anasakwa na jeshi hilo huku kukiwa na taarifa kwamba jeshi hilo linataka kumhoji kufuatia kauli aliyoitoa bungeni mjini Dodoma wiki iliyopita ya kuwahamasisha wananchi wa jimbo lake kulinda rasilimali zao.
Mbunge huyo wa CHADEMA, aliliambia bunge kwamba atawaongoza wananchi wa jimbo lake kuzuia Madini na rasilimali nyingine kusafirishwa nje ya nchi na Mgodi wa North Mara. Heche alikuwa anachangia hotuba ya bajeti ambapo katika mchango wake aligusia pia suala la Taarifa ya pili ya Mchanga wa dhahabu iliyoundwa na rais Dk John Pombe Magufuli.
Siku chcahe zilizopita zaidi ya wananchi 300 wanaoishi vijiji vinavyozunguka mgodi huo walivamia mgodini hapo na kufanya vurugu zilizodhibitiwa na Polisi.
Raia wameaminishwa hawa watu ni wezi! What more do you expectTuwe Na tahadhari na hawa wanasiasa ambao wanaweza kutuletea matatizo kama ya Zimbabwe ya kuvamia mashamba ya wazungu. Ni Muhimu mtu mzima kama mbunge kuheshimu utawala wa sheria.
Nadhani wajinga msioelewa mleta mada anaongelea nini! Kwa nini kuwe na double standards? Mhe. Hamis Kigwangwalla alifanya kitu cha namna hiyo hiyo miaka miwili iliyopita, mbona aliachwa?Acheni ujinga wenu. Mtu ahamasishe vurugu msingizie kinga ya kibunge?
Utawala wa sheria?Tuwe Na tahadhari na hawa wanasiasa ambao wanaweza kutuletea matatizo kama ya Zimbabwe ya kuvamia mashamba ya wazungu. Ni Muhimu mtu mzima kama mbunge kuheshimu utawala wa sheria.
Tena aswekwe kolokoloni kwa masaa kadhaa. Akili itamrudia.Kinachoongelewa ni kauli zao. Kwani Heche alikwenda Mara kuwahamasisha hao wananchi? Si yuko Dodoma kwenye vikao vya bunge? Tofauti hapo ni aina ya watu, wasukuma wa huko Koromije na hao "wana-Mara" nadhani wanatofautiana ushupavu/ujasiri/uoga
Kauli aliyoitoa bungeni haihojiwi popote..Mbunge wa Tarime Vijijni John Heche anasakwa na Jeshi la Polisi. Heche anasakwa na jeshi hilo huku kukiwa na taarifa kwamba jeshi hilo linataka kumhoji kufuatia kauli aliyoitoa bungeni mjini Dodoma wiki iliyopita ya kuwahamasisha wananchi wa jimbo lake kulinda rasilimali zao.
Mbunge huyo wa CHADEMA, aliliambia bunge kwamba atawaongoza wananchi wa jimbo lake kuzuia Madini na rasilimali nyingine kusafirishwa nje ya nchi na Mgodi wa North Mara. Heche alikuwa anachangia hotuba ya bajeti ambapo katika mchango wake aligusia pia suala la Taarifa ya pili ya Mchanga wa dhahabu iliyoundwa na rais Dk John Pombe Magufuli.
Siku chcahe zilizopita zaidi ya wananchi 300 wanaoishi vijiji vinavyozunguka mgodi huo walivamia mgodini hapo na kufanya vurugu zilizodhibitiwa na Polisi.
Sheria unaijua?Hatua za kisheria zichukuriwe
Itakulaje kwake? Maccm na Policcm hebu punguzeni kuwa VILAZA!Kuna taratibu za kisheria za ku-deal na wezi.
Si holela, itakula kwake
What a silly question from probably the most idiot person! Samahani, hivi una familia inayokutegemea? Mbona itakuwa na Hasara?Wenye mali wako zaidi ya 400?