Du Bois ideas
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 427
- 82
Wana JF,
Naomba kufahamishwa hivi hali ya Tarime kuhusu mauaji inaendeleaje? Manake sijui kinachoendelea, nani anafanya utaratibu wa Mazishi CDM au serikali? Timu iliyotumwa na Mbowe ya Tundu Lisu na Marando wanasemaje?
Naomba kufahamishwa hivi hali ya Tarime kuhusu mauaji inaendeleaje? Manake sijui kinachoendelea, nani anafanya utaratibu wa Mazishi CDM au serikali? Timu iliyotumwa na Mbowe ya Tundu Lisu na Marando wanasemaje?