Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,923
- 8,314
Hahaha Mkuu naomba unijibu maswali yangu
Umesema Alexander the great alikuwa shoga Ndio ali kuvutia huko Kwasababu yeye alikuwa ni akili kubwa ?
Je kwa kiasi Gani imeathirika toka uanze hiyo tabia?
Je hujutiii huo ushetani mkuu? Na vipi jamii inskuchukuliaje?
Ninavyojua kwenye chama chenu kuna wabunge wawili wanatuhuma km ulizozikiri hapa ! Je chama kina ruhusu hili jambo ?
Umesema Alexander the great alikuwa shoga Ndio ali kuvutia huko Kwasababu yeye alikuwa ni akili kubwa ?
Je kwa kiasi Gani imeathirika toka uanze hiyo tabia?
Je hujutiii huo ushetani mkuu? Na vipi jamii inskuchukuliaje?
Ninavyojua kwenye chama chenu kuna wabunge wawili wanatuhuma km ulizozikiri hapa ! Je chama kina ruhusu hili jambo ?
Mh,,ndo maana mi husema,haunaga point,,Basi kwa mawazo yako umeona unatoa point kubwa mno kuongelea upunga.
Badala ujitete,maana umeonaga kwanza you have unstable mind,,yaani unhinged,au kwa kiswahili Nut upstair zimetela,,yaani zimekuwa loose,
Juu kila unachopost humu Ni utopolo,yaani hakina substance,,
Vilevile wewe Ni mtu wa chuki,au kueneza chuki,inaonekana makuzi yako,I mean upbringing yako iko na matatizo,
Ukute pengine ulikuwa abused udogoni kwako,that is why hata terminology ya punga imestick kwako Kama ruba,
So hivyo vyote,vinajionesha kwenye matendo yako humu,wewe Ni umejaa chuki,unaona raha kuona watu wakiumia,na hii inakucompasate kisaikolojia vile wewe uliumizwa utotoni,