laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,731
Salum Mwalim ana hatari, anazaa na mke wa mtu, kwa hiyo Salum anasubiri babu afe arithi mali .......Ndio maana mshkaji hataki kuoa anamsikilizia mke wa mtu
Salum Mwalimu kaingia Chadema lini? as 2008 was still at Vodacom TanzaniaKaolewa na babu fulani ana mapene hatari, ila kazaa watoto wawili na Salum Mwalimu wa CHADEMA. Sema demu kichwa hesabu imelala kichwani mlimani wanamtambua.
''
Salum Mwalimu anao watoto wawili, wa kwanza wa kike na wa pili ni wa kiume. Mazingira aliyonayo yanakuwa magumu kumpandisha jukwaani mzazi mwenzie pamoja na watoto kwa sababu mzazi mwenzie ni mke wa mtu. Hivyo inakuwa changamoto.
Naamini kuna siku atafanya hivyo , aliyezaa nae kaolewa na Mzee wa makamo hivyo ikamlazimu huyo dada ambaye ni mbunge (CHADEMA) wa jimbo kutoka mkoa wa Mara kutafuta kijana aweze kufurahia ujana wake maana damu bado inachemka, na mapenzi yao yalianzia walipokutana kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Tarime mwaka 2008 baada ya kifo cha Marehemu Chacha Wangwe ''
Soma >Salum Mwalimu ana watoto, asidhalilishwe - JamiiForums
Hivi Tanzania kuna mwanamama aliyefanikiwa ambae hana 'scandal' ambae atakuwa mfano kwa wasichana kweli??
Ila hili la kuonyesha nyumba kwa mbunge sio kosa lakini litamletea hasara kuliko faida, haya mambo ya show off waachiwe wasanii waliopo kwenye showbiz....sasa watu wanaanza kumchambua na kumuonea husda. Waislam wanaambiwa kutoonyesha neema zao kupunguza husda...Mtume Muhammad (SAW) alisema "Resort to secrecy for the fulfillment and success of your needs for, verily, every one who has a blessing is envied.”
Bora yeye kuliko kiongozi wakoSalum Mwalim ana hatari, anazaa na mke wa mtu, kwa hiyo Salum anasubiri babu afe arithi mali .......Ndio maana mshkaji hataki kuoa anamsikilizia mke wa mtu
Mkuu huyu si mwanamke wa kubweteka akimsubiria mwanaume alete. Kawa mwalimu wa hesabu UDSM mpaka ubunge. Sio level za akina Wema.Halafu utamsikia anawambia wanawake wenzake wapambane na ujasiliamali wasibweteke.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ko jamaa aliacha voda akaingia chadema? Kweli bangi mbaya sana au voda alikuwa anauza line na wakala wa mpesaSalum Mwalimu kaingia Chadema lini? as 2008 was still at Vodacom Tanzania
Naombeni namba yake niwe hata dereva wake tu.Yes. Was my lecture nafkiri kwa sasa atakuwa na 70s... Ndio maana Salum Mwalim anajilia game kilaini sana, cse Babu kachoka by now
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu dem asingekuja kwenye public limelight namna hii.....kweli mm binafsi baada ya kuona ili andiko heshma yangu kwake imepungua.....infact hata wapiga kura hawapendi....unapoanza kujipambanua kwa mali.....
kwamba unamuheshimu , au unapenda wabunge au ndugu mafukara? Kwamba umasikini kwako ni fahari?Huyu dem asingekuja kwenye public limelight namna hii.....kweli mm binafsi baada ya kuona ili andiko heshma yangu kwake imepungua.....infact hata wapiga kura hawapendi....unapoanza kujipambanua kwa mali.....
Na leo katibu mkuu wa wanawake CCM ataongea na waandishi wa habari