Ad majorem
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 819
- 1,286
Huyo mzee anatanga tanga tuu. Mh Rais ameshasema, hilo jimbo apewe Msanii wa Bongo flavor, Mr Harmonize. Anyway, baada ya uchaguzi watampa walau uDC.
Swali zuri sana. Wanapokwama ni kufikiri kuwahamisha wapinzani walioshinda maeneo yao kutawapa hakika ya kushinda uchaguzi ujao. Iwapo ccm inakubalika kwa asilimia 80 waweke tume huru ya uchaguzi na uwanja huru wa mapambano kisha tusubiri matokeo huru.Vipi wapiga kura wa upinzani nao wamehama?
Swadaktamisuse of public funds at its highest..
Yametoka kwenye ule mkopo tuliopewa.Huyu jamaa alizungumzwa muda mrefu,sijui walikuwa wanashindana bei ama vp..
Haya mahela yanatoka mfuko gani?....
Mhhhhh!Mh. Esther Bulaya ni suala la muda tu! Hata tarehe na mahali pa kutangazia pameishaandaaliwa?
Wapinzani wajinga sana. Hawa kina lipumba na mbowe ndio waliomkaribisha lowassa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile kauli ya kuufuta upinzanii unatimia baada ya Mbunge mwingine tena kwenda CCM
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha hayo hata ethiopia wanayo mbonaWakati amenunua mandege makubwa sana?
In God we Trust