Wakuu leo ndiyo kunatolew hukumu ya kupinga matokeo ya ubunge wa sumbawanga mjini wa Aeshy Hilaly Halphany CCM dhidi ya mwalimu Norbet Joseph Yamsebo wa Chadema ambaye anadai kuchakachuliwa katika uchaguzi huo.
Madai miongoni ni pamoja na kutoa rushwa kwa makundi mbalimbali na watu wengi walijitokeza kutoa ushahidi huo na kukiri kuwa ni kweli walipokea vitu mbalimbali ikiwemo fedha, baskeli, pikipiki, vinywaji, kinanda kwa kanisa katoliki, nk kwa sharti la kumpigia kura mbaya zaidi ni kwa mkurugenzi mwanamama kutoa ushahidi wa kupinga ushindi wa mbunge huyo, mkurugenzi huyo alihamishwa muda mfupi mara baada ya matokeo ya uchaguzi kutolewa na kupelekwa wilaya ya Ileje.
Moja ya kituko katika kesi hii mara baada ya mbunge huyo kuulizwa kama anaamini na kusema hajui kama alishinda ila mkurugenzi ndiye anayejua ushindi huo, kimsingi ulinzi umeimalishwa kwani yaweza kuwa mbaya endapo Aeshy atatangazwa mshindi, askali wapo wa kutosha, washawasha na mabomu, lakini kesi hii ilikosa umaarufu kwa kuwa waandishi njaa wote walikuwa upande wa Aeshy mpaka ripota wa ITV Joshua joel update tutawaletea mara kesi itakapoanza....
Kamanda Doma.
UPDATES:
UPDATES
mashabikina wafuasi wa Chadema wanashangilia nje ya mahakama kwa mbwembwe japo jaji bado hajatoa tamko
UPDATES
HATIMAYE CHADEMA WAIBUKA NA USHINDI NA UCHAGUZI KUTANGAZWA KURUDIWA UPYA BAADA YA BWANA AESHY KUKUTA NA KOSA LA KUTOA RUSHWA KATIKA UCHAGUZI HUO. Chademaaaaaaaaaaaaaaaaa vemaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
UPDATES
Bwana Aeshy ametangaza kukata rufaa ya kupinga kutenguliwa kwa ushindi wake
Madai miongoni ni pamoja na kutoa rushwa kwa makundi mbalimbali na watu wengi walijitokeza kutoa ushahidi huo na kukiri kuwa ni kweli walipokea vitu mbalimbali ikiwemo fedha, baskeli, pikipiki, vinywaji, kinanda kwa kanisa katoliki, nk kwa sharti la kumpigia kura mbaya zaidi ni kwa mkurugenzi mwanamama kutoa ushahidi wa kupinga ushindi wa mbunge huyo, mkurugenzi huyo alihamishwa muda mfupi mara baada ya matokeo ya uchaguzi kutolewa na kupelekwa wilaya ya Ileje.
Moja ya kituko katika kesi hii mara baada ya mbunge huyo kuulizwa kama anaamini na kusema hajui kama alishinda ila mkurugenzi ndiye anayejua ushindi huo, kimsingi ulinzi umeimalishwa kwani yaweza kuwa mbaya endapo Aeshy atatangazwa mshindi, askali wapo wa kutosha, washawasha na mabomu, lakini kesi hii ilikosa umaarufu kwa kuwa waandishi njaa wote walikuwa upande wa Aeshy mpaka ripota wa ITV Joshua joel update tutawaletea mara kesi itakapoanza....
Kamanda Doma.
UPDATES:
Umati umejitokeza kwa wingi sana na watu wamejaa ndani hivyo imebidi spika zifungwe nje lakini gari la polisi limekuwa likizunguka kuonya juu ya uvunjifu wowote wa amani.
Muda mfupi ujao jaji ataingia ila naona makamanda wengi sana kutoka sehemu mbalimbali wakiwa ndani ya magwanda
Jaji ameingia na kuanza kusoma kesi kwa lugha ya kiingereza na kesi nzima ina takribani kurasa 68
Mawakili wanaendelea kutoa utetezi wao wa mwisho lakini umati uliopo unatisha na Licha yakuonekana wafuasi wengi ni wa Chadema lakini Askari wameondolewa na kuashiria uwezekano wa chadema kushinda kesi.
Hoja za mwisho zinaweza kuwabana Magamba lakini naona Polisi wameanza kumwagikaYuko kwenye hoja namba 15 na ameiunganisha hoja namba 14 anadaiwa kutoa hongo! Wakuu tuombe Mungu mambo yanawezakuwa mazuri jaji anakubaliana hoja ya walalamikaji, Mungu saidia Democrasia.
Naendelea kuwajuza!
UPDATES
mashabikina wafuasi wa Chadema wanashangilia nje ya mahakama kwa mbwembwe japo jaji bado hajatoa tamko
UPDATES
HATIMAYE CHADEMA WAIBUKA NA USHINDI NA UCHAGUZI KUTANGAZWA KURUDIWA UPYA BAADA YA BWANA AESHY KUKUTA NA KOSA LA KUTOA RUSHWA KATIKA UCHAGUZI HUO. Chademaaaaaaaaaaaaaaaaa vemaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
UPDATES
Bwana Aeshy ametangaza kukata rufaa ya kupinga kutenguliwa kwa ushindi wake