Jaji ndo ametinga mahakamani! Na tayari wameanza utangulizi na tayari hukumu imeanza, jaji ameanza na kuwa hukumu iko tayari na hukumu ni ndefu na ina kurasa zisizopungua 68 kwa kuwa mambo yenyewe ni mengi na ameanza kuomba kuisoma kwa kiingereza na kuwa summry itatolewa kwa kiswahili ameanza kuisoma tayari kwa kiingeleza
Walipishana kwa kura kama 200
By the way, mgombea wa CHADEMA alipata kura ngapi dhidi ya ngapi za mgombea wa CCM?
Usichanganye na ile ya Singida.Hii lakini sio tuliambiwa imekwisha tangu ijumaa?
Mkuu tuko pamoja. Up date pamoja na picha za matukio.
Huku huwa hatutumii mapanga ni shoka tu.......wakizingua lianzisheni! Mapanga mnayo?
Huku huwa hatutumii mapanga ni shoka tu.......
Kwa hiyo kesi naimani magamba watashinda, hawawezi kubali kupoteza hilo jimbo wakati jimbo la segerea ni hatihati mpaka sasa! nguvu ya umma ipo mashakani.
Huku huwa hatutumii mapanga ni shoka tu.......
Bwana Kashaijabutege,
Mgombea wa CCM alipata kura 17,328
Mgombea wa CDM alipata kura 17,132
Kwa hiyo walitofautiana kwa kura 196
Matokeo kamili yako kwenye huu uzi hapa chini:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/259055-hukumu-ya-kupinga-ubunge-sumbawanga-mjini.html
Huku huwa hatutumii mapanga ni shoka tu.......
Ptz updates jamani.
uwe mpole mkuu natakujuzeni yote lakini lazima yawe ya hakika tuko pamoja sana