Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
Jamani kuna watu huwa hawafahamiki kabisa hivyo anaanzisha jambo lolote ili kupata attention ya media na watu watamfahamu. Nyie mnafikiri huyu Zuzu nani anamfahamu?
View attachment 37994View attachment 37994 muulizeni kafuata nini chadema? wakati juzi alitaka kuua watu wetu na kuchoma magari ya chama?