Huyu jamaa Wa ccm ni kamanda Wa ukweli kaingia ndani ya kambi ya Chadema na katoka salama. Sasa chakushangaza maneno mengi yanawatoka. Kaza butt Aeshi vijana Tupo Nyumba yako igunga.View attachment 37994View attachment 37994 muulizeni kafuata nini chadema? wakati juzi alitaka kuua watu wetu na kuchoma magari ya chama?