Mbunge wa Simanjiro Ole Milliya na Naibu waziri wa Maji wazindua Mradi wa Maji Simanjiro

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Mbunge wa Simanjiro Mhe. James Ole Millya Pamoja na naibu waziri wa Maji Mhe. Izack Kamwele wamezindua Mradi wa maji safi na salama katika kijiji cha Gunge kata ya Ruvuremit wilayani Simanjiro.

Vilevile Mbunge huyo wa Simanjiro pamoja na naibu Waziri wametembelea na kukagagua chanzo cha Maji kutoka mto Pangani na Mradi wa kupeleka Maji makao makuu ya wilaya ya Simanjiro ambao umbali wake ni kilomita 48 kutokea kwenye chanzo cha Maji.

Imetolewa na
Mozec Joseph
*Afisa habari-Kanda ya kaskazini*
 

Attachments

  • IMG-20161124-WA0047.jpg
    IMG-20161124-WA0047.jpg
    103.8 KB · Views: 50
  • IMG-20161124-WA0046.jpg
    IMG-20161124-WA0046.jpg
    104.6 KB · Views: 48
  • IMG-20161124-WA0045.jpg
    IMG-20161124-WA0045.jpg
    81.4 KB · Views: 55
  • IMG-20161124-WA0044.jpg
    IMG-20161124-WA0044.jpg
    80.3 KB · Views: 51
Back
Top Bottom