Elections 2010 MBUNGE WA SIKONGE na Upuuzi Wake

Sikonge

JF-Expert Member
Jan 19, 2008
11,550
6,060
Mbunge wa Sikonge (CCM), Said Nkumba, alidai kuwa wakati wa kampeni, Marando alikuwa akitumia lugha kali na za kashfa hivyo iwapo atachaguliwa kuwa spika atakuwa na lugha hizo hizo au atajirekebisha.

Swali hilo lilionekana kumkera Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe, ambaye alitaka kupata mwongozo wa mwenyekiti wa kikao hicho, lakini kwa mara ya pili aligonga mwamba kwa kuelezwa na mwenyekiti kuwa hicho si kikao cha Bunge.

Marando katika majibu yake alimweleza mbunge huyo kuwa uchaguzi unaendeshwa kwa kanuni na maadili na mtu anayeyakiuka anachukuliwa hatua.

"Mimi sijawahi kulalamikiwa na mtu yeyote kuwa nimekiuka maadili ya uchaguzi hivyo hayo madai ya mbunge kuwa niliwahi kutumia lugha kali si sahihi hata kidogo," alisema Marando kwa kujiamini na kushangiliwa.
Halafu huyu anaitwa eti na yeye Mpiganaji. Ndiyo hawa wanauguwa na wanaishia kutelekezwa na CCM kwenye vitanda vyao na kuanza kulia wapelekwe India kwa Matibabu.

Nkumba, unatuangusha bana. Si lazima useme na wakati mwingine ni heri ukae kimya. I believe you can do better than those Mipasho. Wewe Mtu wa Sikonge na Taarabu wapi na wapi?
 
Sikonge,

Nikukumbushe tu kuwa mh Nkumba ni mwalimu daraja la 3 A. Kama angeendela na taaluma yake, pengine cheo cha juu ambacho leo hii angefikia ni mwalimu mkuu wa shule ya msingi. Mbunge wa aina hiyo unategemea awe na upeo gani wa fikra?
Kwa upande mwingine, upo umuhimu wa mishahara ya wabunge wetu kuwa scaled kulingana na taaluma zao. Nkumba alipwe mshahara sawa na mwalimu wa daraja la 3 A, na anapokuwa kwenye vikao vya bunge Dodoma, posho yake ya kujikimu iwe sawa na ile anayopota mwalimu wa daraja lake kwenye manispaa. Ni wakati wa kusema hapana kwa huu uheshimiwa bandia!
 
Sikonge na Gagnija, badhi ya waheshimiwa wetu ni weupe sana, hawana kitu kabisa. Mfano ni jinsi Mhe. Ole Sendeka alivyo anahaha na kisemeo utadhani alikuwa na serious burning issue, alipofanikiwa kupata mic aliishia kutoa utumbo tuu.
 
Sikonge na Gagnija, badhi ya waheshimiwa wetu ni weupe sana, hawana kitu kabisa. Mfano ni jinsi Mhe. Ole Sendeka alivyo anahaha na kisemeo utadhani alikuwa na serious burning issue, alipofanikiwa kupata mic aliishia kutoa utumbo tuu.

Hizo purukushani za Ole Sendeka mjengoni siwezi sahau, angekaa kimya angeonekana wa maana zaidi.
 
Ndugu zangu wanyamwei walinisiskitisha walivyo wafinyu wa mawazo. Yaani bado kuna wanaodai CCM ina serikaliwakati wapinzani hawana serikali. Kwa hiyo kuwapigia wapinzani ni kuptoeza muda kwa kuwa hawana serikali; yaani cyclic reasoning. Hata hivyo haikunishanganza kwa vile nilikuta karibu wote wana baiskeli mpya, tshirt na kofia kofia za kijani/njano.
 
Ndugu zangu wanyamwei walinisiskitisha walivyo wafinyu wa mawazo. Yaani bado kuna wanaodai CCM ina serikaliwakati wapinzani hawana serikali. Kwa hiyo kuwapigia wapinzani ni kuptoeza muda kwa kuwa hawana serikali; yaani cyclic reasoning. Hata hivyo haikunishanganza kwa vile nilikuta karibu wote wana baiskeli mpya, tshirt na kofia kofia za kijani/njano.

Tunaposema wasukuma(sisi) ni tofauti na wanyamwezi inabidi sasa mutuelewe.

Hawa watu wanajua mambo matatu tu:

  1. Kulima vibarua kwenye mashamba ya watu
  2. Kunywa matapu-tapu
  3. Kufanya umalaya
 
Hawa jamaa Olesendeka na huyo mwenzake wangekaa kimya wangeonekana na busara sana kuliko kuongea kile walichoongea.
 
Hawa jamaa Olesendeka na huyo mwenzake wangekaa kimya wangeonekana na busara sana kuliko kuongea kile walichoongea.

Nilibahatika kuwafahamu wote wawili tokea ujanani. mmoja (Ole Sendeka) alipata divison zero form six Old Moshi Sekondari na mwenzake (Said) alikuwa maarufu kuimba nyimbo za mchakamchaka pale Moshi Tech huku ubongo ukiwa na utupu mkubwa. Nashauri tuwasamehe bure ila tutumia muda huu kufanya maandalizi ya kusaidia majimbo husika kupata wawakilishi wakweli uchaguzi ujao Inshallah (nadhani Sikonge atakuwa mmoja wao)
 
Haya mambo yakulewa na sifa yamewaponza watu wengi sana akiwemo christopher mwana wa Mtikila, wakati wa vuguvugu lamagezi mwaka 1992 mtikila aliamsha watanzania na wakaamka kwakiasi chake.Baada yakuona anawafuasi tena wanao mbeba mabegani wakati wamikutano yake akalewa sifa akanza matusi sasa yuko wapi? Mrema wa TLP aliwika sana na NCCR mageuzi akalewa sifa ya kuwa nawatu wengi nyima yake akataka ageuke mfalme wa chama chake huku akikataa kila aina ya ushauri wa kumjenga.Leo yuko wapi?amebakiwa kupendwa na wanawake wa kikijijini kwake.Haya mambo na ona Ole sendeka asipo angalia vizuri yatamkuta mapema kabisa.Mtaji wawatu nimgumu sana kuutunza sio rahisi rahisi tu kama kama kutunza mtaji wa duka.Wanao mpenda Ole sendeka wamshauri asije fulia mapema,huyo wa sikonge sina shida naye sana kwasababu hajitambui

@Kereng'ende
 
Nilibahatika kuwafahamu wote wawili tokea ujanani. mmoja (Ole Sendeka) alipata divison zero form six Old Moshi Sekondari na mwenzake (Said) alikuwa maarufu kuimba nyimbo za mchakamchaka pale Moshi Tech huku ubongo ukiwa na utupu mkubwa. Nashauri tuwasamehe bure ila tutumia muda huu kufanya maandalizi ya kusaidia majimbo husika kupata wawakilishi wakweli uchaguzi ujao Inshallah (nadhani Sikonge atakuwa mmoja wao)
oshany, asante kunifungua macho kuhusu elimu ya Mhe. Ole Sendeka, kuna watu wanapata div. 0 kkwa sababu mbalimbali lakini kichwani they are smart. kuna watu hawakwenda shule kabisa lakini ni busara tele, nlimfahamu Ole Sendeka tangu pale livyojipambanua na kambi ya wapiganaji dhidi ya ufisadi.
Siku ile Sitta alipofunika kombe ili manaharamu apite, wapambanaji wa kweli walijinyamazia, Ole Sendeka ndie alichangia kwa kumwaka upupu tupu, bora angenyamaza.

Niliposikia visa vyake, mara hivi, mara vile, nilijiaminisha anasakamwa na mafisadi. Juzi pale kwa Marando, ndipo nikathibitisha jamaa hakuna kitu. Hii taarifa ya kupata div. 0 ni uthibitisho, hiyo zero ni ya halali na ndicho kilichomo kwenye kichwa chake!.
 
Tunaposema wasukuma(sisi) ni tofauti na wanyamwezi inabidi sasa mutuelewe.<br />
<br />
Hawa watu wanajua mambo matatu tu:<br />
<ol class="decimal"><li>Kulima vibarua kwenye mashamba ya watu</li><li>Kunywa matapu-tapu</li><li>Kufanya umalaya</li></ol>
<br />
<br />
Teteeeeeeeteteeee du hivi jamaa bado wanaendaga zanzibar kwa vibarua sio teee
 
Sikonge na Gagnija, badhi ya waheshimiwa wetu ni weupe sana, hawana kitu kabisa. Mfano ni jinsi Mhe. Ole Sendeka alivyo anahaha na kisemeo utadhani alikuwa na serious burning issue, alipofanikiwa kupata mic aliishia kutoa utumbo tuu.

Nakubaliana na wewe mkuu! na mimi binafsi haki ya mungu naona kuna umuhimi mkubwa sana wa kubadirisha katiba! this is getting worse! yaani mbunge kula 12m a month halafu hasaidii kabisa jamii, hivyo wangefuata ile mid term elections ambayo either ifanywe na wabunge wenzao au wananchi wachache wa majimboni kwao kila half way before the end of the term. Let say after 2.5 years ili ku assess their performance na hii itapelekea uwajibikaji. Maana wengi wakishapata kura basi wanabweteka wakijua kuwa there nothing we can do to them till 5 years of service and they are guaranteed to serve those 5 years. Mmmh!
 
olesendeka
kajipange baba, la sivyo umaarufu wako utashuka muda si mrefu kama wa Masha lol! na unajua RA, EL,JK hawakufagilii hali yako itakuwa mbaya kuliko mjomba wangu Mrema lol:smile:
 
the trouble with the world is that the stupid are so confident while the intelligent are full of doubt
 
Mkuu Sikonge si ulisema unampango wa kugombea come twenty fifteen, usisubiri tarehe ya kampeni itangazwe ndo uanze, nenda ueleze mikakati yako. Huyu mbunge wa Sikonge si ndo yule alokuwa mwl wa shule ya msingi au walimpiga chini? Ni mrefu fulani hivi na mwembamba?
 
the trouble with the world is that the stupid are so confident while the intelligent are full of doubt

I beg to differ my friend, Confidence is the secret to a man's success.
 
Watanzania hawawezi kula UMAARUFU. Madini yetu na rasilimali yetu haiwezi kulindwa kwa umaarufu wa mtu bali umakini wa mtu na uzalendo wake.
 
Mkuu,

Ukitaka vita ya wenyewe kwa wenyewe, utaipata.

Ubora wenu ni nini hasa? Kufukuza wanawake na kuwawekea Mikono juu na kuimba Chagulaga Mwana Mayu?

Kucheza ngoma (mashindano ya ngoma) mwezi mzima huku Mkirogana .... "Chini ngongo chini ngongo......"

Kuuwa Albino ili mpate Utajiri ambao leo mnaanza kujiona eti nyie ni wa Maana sana?

Mwisho wa siku, haya mambo yanaishia kuwa Individuals. Sasa kwa hilo, una uhakika sana kuwa Umempita Kichuguu Kimaisha? Una uhakika kuwa umemzidi Rupia kimaisha? Una uhakika umempita Kapuya kimaisha?

Hii inanikumbusha Story ya Mjamaica mmoja huko Russia ambaye alianza kutamba kuwa wao ingawa ni weusi na wametoka kweli Africa, wako juu zaidi ya sisi Waafrca. Alijibiwa na jamaa mmoja mwenye kigugumizi"
" Ja Ja Jamaican, do you know who are you? You are just REJECTED SLAVES......"

Kumbuka si zamani sana, nyie wote mlikuwa mko chini ya Himaya ya Mtemi Mirambo (Milambo). Walugaluga walikutandikeni na wala hatukusikia mkisema kitu. Kama siyo Wajeruman kuja na kumshambulia Isike, mngelikuwa chini ya Himaya yetu hadi leo. Na wakati huo, mlipigana bega kwa bega na Mirambo, bila ya kujifanya eti nyie Wasukuma na sisi ni Wadakama.

Hata Nyerere alipoanza kutawala, upinzani mkubwa sana alipata kutoka kwa Wanyamwezi na nyie siku hizo mlikuwa mko kwenye NEPI. Ni watu kama Mtemi Lugusha, Kasanga Tumbo, Chief Fundikira na wengine walianza kumpa kashkash Nyerere na kama angelichelewa, leo hii ni Wadakama wangelikuwa wakitawala hii nchi na nyie mngelianza kujikomba kuwa "na sisi ni Wanyamwezi".

Nyerere kwa kutukomoa, ndiyo akaanza kushikilia mkoa wa Tabora ili ubaki palepale miaka nenda miaka rudi. Ila kidogokidogo watu wameanza kurudi Nyumbani. Wazee kwa vijana wanaanza kurudi makwao na kujenga. Taratibu tutaanza kuchangamka na kuja kwa speed ya ajabu. Mnaweza kuwa na hizo dhahabu na Almasi zenu ila nina imani Tabora itakuja kuwa Japan ya Tanzania.

Kwa Zanzibar: Kila mtu wa Bara anaitwa Mnyamwezi. Huko ni sawa ni miziki ya Congo, sisi Tanzania tunaita Bolingo wakati bolingo kwa kilingala ni MAPENZI. kwa hiyo, ukiwa Zenji, kuna makabila matatu tu kutoka bara yaani Wanyamwezi, Wamasaai na Makonde. Wengine kama Wasukuma hata hampo. Sijui kama hiyo ni sifa.

Veve Nkwingwa, ulu ukova Mihayo, letaga du. Ulu Wapandula, enhe nkuponta.

Hii Video hapa chini, inaonyesha Mwamko na Maendeleo yenu Wasukuka. Msikilize Shangazi yako anavyozoza Kisukuma na kweli ninakubali kuwa Mmeendelea sana. Hongereni.....


Tunaposema wasukuma(sisi) ni tofauti na wanyamwezi inabidi sasa mutuelewe.

Hawa watu wanajua mambo matatu tu:


  1. Kulima vibarua kwenye mashamba ya watu
  2. Kunywa matapu-tapu
  3. Kufanya umalaya
 
Last edited by a moderator:
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom