johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,867
- 141,804
Sina hakika zile fedha zilizorejeshwa na Ngeleja ziliingia katika mfuko gani lakini na!pongeza kwa maono yake.
Nimuombe tu DPP amtambue mbunge Ngeleja kama ni mmoja wa waliorejesha fedha zilizoibwa hata kama alikuwa hajashtakiwa lakini ndiye mtanzania wa kwanza aliyejutia kosa lake na kurejesha fedha alizopewa kinyume cha sheria.
William Ngeleja atakuwa mtu wa 468.
Maendeleo hayana vyama!
Nimuombe tu DPP amtambue mbunge Ngeleja kama ni mmoja wa waliorejesha fedha zilizoibwa hata kama alikuwa hajashtakiwa lakini ndiye mtanzania wa kwanza aliyejutia kosa lake na kurejesha fedha alizopewa kinyume cha sheria.
William Ngeleja atakuwa mtu wa 468.
Maendeleo hayana vyama!