Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 218,003
alisubiri uchaguzi ?Rushwa huko kwenu, kwa Magari ya wagonjwa hapa kwetu ni msaada wa laazima kwa Jamii, hasa wakazi wa milimani kama Vudee, Mbaga, Mvaa, Kisiwani,Gonja na hata jImbo la Mwanga maeneo kama Jipe, Kifula, Kighale, Kileo, Kilomeni, Kirongwa, Kirya, Kwakao, Lang'ata, Lembeni, Msangeni, Mwaniko, Ngujini na Shingatini leteni hizo Ambulance tena haraka. kama na wengine wapo nani kawazuia walete tuu hata kugawa ng'ombe, mbuzi ada za wanafunzi wa secondari za A level.
Wakiwa bungeni wanakula wao, sasa ni muda muaafaka na sisi wapiga kura tupate chambi chambi. Go Matayo gooooooooo.