Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa dogo, lakini nadhani sasa kiherehere kitakuisha, vinginevyo tunarudishia hicho kisimi ndani ya housing kwa kisu.
Hivi wewe unaweza kuandika barua ya kujiuzulu cheo ambacho hukuwa nacho na wala hakuna aliyekuwa anakutambua kwa cheo hicho? Sasa utakuwa unajiuzulu nini? KAMA ULIKUWA HUJAOA AU KUOLEWA HALAFU UNAANDIKA TALAKA UTAMPA NANI?Hiyo vita ya Kikabila, hakuna logic hapo, ni Urombo vs Machame/Marangu!
Acha kutanua magoli,mtoe dereva asaidie uchunguzi kwanza..mbona hamuitaji kampuni binafsi inayolinda nyumba za viongozi area D?
..na nani alitoa maelekezo walinzi wa kampuni binafsi waondolewe siku ya tukio la kushambuliwa TL?
..Je, kuna mtu wa serikali aliwaelekeza walinzi wa kampuni binafsi kuwa Sept 7, 2017 viongozi wanaoishi area D walikuwa hawahitaji ulinzi?
Huenda unachosema kikawa na ukweli, lakini Selasini kamvumilia nani sana? Amevumilia sana kutokutangazwa mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani! Ni kipi anashindwa kukitekeleza akiwa mbunge, lakini angeweza kukitekeleza vizuri akitangazwa mnadhimu mkuu wa upinzani? Je chaguzi nchi hii zinanajisiwa, na hao cdm wanafanyiwa uhuni wa wazi na dola kisa ni yeye hajatangazwa mnadhimu mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni? Kwa hiyo katika matatizo makubwa anayokutana nayo Selasini na kumbidi aivumilie sana cdm ni hiyo kutokutangazwa nafasi ya mnadhimu? Katika matatizo ambayo wananchi wa rombo yeye kama mbunge yanashindwa kutatuliwa, ni kwakuwa hajatangazwa rasmi kuwa mnadhimu? Hapa naona unachoma tu mahindi kwa tochi.
Haya mambo madogo madogo yanaletwa na wanaccm humu jukwaani, lengo hasa ni kuonyesha cdm ina matatizo makubwa na ndio itakuwa sababu ya kushindwa uchaguzi. Kwani ule ushenzi wa juzi wa kunajisi uchaguzi wa SM za mitaa ni kwa sababu cdm kuna kutokuelewana kunakosemwa? Huo uchaguzi mkuu wa 2020 nao utanajisiwa ili ccm wajitangaze washindi, kisa Selasini amekataliwa kutangazwa mnadhimu huko bungeni?
Mods unganisheni huu uzi na ule mwingine, kule kuna majibu stahiki ya hizi mbwembwe.
Ati una majibu kule ya kwann Mbowe hajamtuibitisha 30...
Kweli Mbowe ni mtume...
Hata akikosea wako wanaomtetea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kutanua magoli,mtoe dereva asaidie uchunguzi kwanza
Acha kutanua magoli,mtoe dereva asaidie uchunguzi kwanza
Hatar fayaaa mzee babaHiyo picna ya kwanza huyo jamaa alivyokunja kona kama kipepe ila uyo mwenye tofali haahaaaaaaa
Katika watu ambao utetezi wangu ni mwiko kuupata ni huyo Mbowe, na sina popote ninapounga mkono alichofanyiwa huyo 30, lakini huyo 30 sio lolote sio chochote wa kusema eti naye atatishia. Kama hajadhibitishwa apige kimya maana hanaga mchango wowote useme unamashiko ndani ya chama. Analilia madaraka makubwa wakati hata hayo ya msingi hana impact yoyote? Angekuwa amevuliwa ubunge afadhali, sio cheo kisicho na maana yoyote kwa ujenzi wa chama.
boss achana na personality ma personal values..
1.Kutotuibitishwa ni kosa ... period.
2. Kulalamika ama kujitoa ni wajibu wake kwakuwa haoni sababu ya kutothibitishwa.
3. Mbowe amekosea.
Mengine hayana umuhimu yanakupotezea heshima kaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hivi, hana mchango wowote wa maana ndio maana kapotezewa. Ni kweli Mbowe alikosea, lakini kwakuwa hajadhibitishwa na ameamua kujiuzulu ni sawa, ni bora nafasi yake apewe mtu mwenye tija.
Ni hivi, hana mchango wowote wa maana ndio maana kapotezewa. Ni kweli Mbowe alikosea, lakini kwakuwa hajadhibitishwa na ameamua kujiuzulu ni sawa, ni bora nafasi yake apewe mtu mwenye tija.