digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,890
- 14,342
Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini amejiuzulu na kumtaka M/kiti wa Chadema, Freeman Mbowe kumteua mtu mwingine kukaimu nafasi ya Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni
Amesema tangu alipomkaimisha hajawahi kumpa barua rasmi wala kumthibitisha katika kukaimu nafasi hiyo.
---
My take ,kufikia Oktoba CHADEMA itabaki na mwenyekiti na katibu peke, Mungu ni mwema siku zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Amesema tangu alipomkaimisha hajawahi kumpa barua rasmi wala kumthibitisha katika kukaimu nafasi hiyo.
---
My take ,kufikia Oktoba CHADEMA itabaki na mwenyekiti na katibu peke, Mungu ni mwema siku zote
Sent using Jamii Forums mobile app