WanaJambo wenzangu, naona BBC wameandika kwamba Mbunge wa kuchaguliwa through ODM party wa Embakasi Jijini Nairobi amepigwa risasi na kufariki jana usiku masaa kadhaa baada ya wagombea wa4 aliowashinda katika uchaguzi kufungua kesi ya kupinga matokeo.....
Nimeiweka hapa sababu ni issue inayotugusa sana kwanza kama EAC Members but also kwa vile instability in Kenya will result in trouble to Tz.... Tumeanza kumaliza issue ya wakimbizi wa Great lakes now Kenya is following suit to trouble......
Wakenya walichoka rushwa, ulaji na ubadhirifu wa mali ya Umma, Tanzania tunafanya nini kuzuia hili?? Ikubukwe "Mwenzako akinyolewa, wewe ......" Tuanze kutia maji manake Tribal lines za Kenya na Tz ni zilezile (more or less) na kitabia hatujatofautiana sana.
For more info:
http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/7214558.stm
Mods, you can move it to where it shoudl be (kama haifai hapa) manake najua ni hapa ndipo itapata wasomaji wengi na mimi nime target issue ya Kenya kama mfano lakini point ni Tz mambo haya yanakuja............
Nimeiweka hapa sababu ni issue inayotugusa sana kwanza kama EAC Members but also kwa vile instability in Kenya will result in trouble to Tz.... Tumeanza kumaliza issue ya wakimbizi wa Great lakes now Kenya is following suit to trouble......
Wakenya walichoka rushwa, ulaji na ubadhirifu wa mali ya Umma, Tanzania tunafanya nini kuzuia hili?? Ikubukwe "Mwenzako akinyolewa, wewe ......" Tuanze kutia maji manake Tribal lines za Kenya na Tz ni zilezile (more or less) na kitabia hatujatofautiana sana.
For more info:
http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/7214558.stm
Mods, you can move it to where it shoudl be (kama haifai hapa) manake najua ni hapa ndipo itapata wasomaji wengi na mimi nime target issue ya Kenya kama mfano lakini point ni Tz mambo haya yanakuja............